TAKUKURU Wametangaza Nafasi 350 za Kazi....Bofya Hapa Kutuma Maombi
HomeHabari

TAKUKURU Wametangaza Nafasi 350 za Kazi....Bofya Hapa Kutuma Maombi

  Mkurugenzi  Mkuu  wa  Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa  (TAKUKURU) anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba kuajiriwa ...

Serikali yaikabidhi SUMA JKT shamba la bil. 152/-
Watanzania 940,507 Wapokea Chanjo Ya Jansen
Serikali Yaanika Mbinu Za Kurahisisha Ulipaji Mafao Kwa Wastaafu

 


Mkurugenzi  Mkuu  wa  Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa  (TAKUKURU) anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba kuajiriwa katika nafasi za kazi zifuatazo:

1.1    AFISA UCHUNGUZI (NAFASI 200)
1.2   Sifa za Kitaaluma:
Muombaji awe angalau na elimu ya shahada ya kwanza iliyotolewa na chuo kinachotam­bulika na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika fani zozote kati ya hizi: Mambo ya  Kale na Utalii, Sheria, Uhasibu,Teknolojia ya  Habari, Elekitroniki, Misi­tu, Kilimo, Ununuzi, Uchumi na Mipango, Usimamizi wa Rasilimali Watu, Takwimu, Utawala wa Umma/Serikali, Utunzaji wa Kumbukumbu, Usimamizi na Uthamini wa Ardhi, Mafuta  na Gesi,Ukadiriaji wa  Majenzi, Uhandisi wa  Umeme, Uhandisi kati­ka Kemia, Mifugo, Usanifu wa Majengo, Mambo ya anga, Uhandisi wa Mitambo, Uhandisi wa Ujenzi na Uhandisi wa Maji;

2.1    MCHUNGUZI MSAIDIZI (NAFASI 150)
2.2    Sifa za Kitaaluma:
Muombaji awe na cheti cha elimu ya kidato cha nne (CSE) au kidato cha sita (ACSE). astashahada au stashahada ya fani yoyote inayotolewa na Taasisi au chuo kinachotam­bulika na Serikali ya Tanzania, pamoja na fani kama vile ujenzi, ulinzi, udereva, upa­kaji rangi, ufundi magari, vifaa vya muziki, utunzaji wa kumbukumbu , TEHAMA, maendeleo ya jamii, uhazili, menejimenti ya hotel , n .k.

 Mwisho wa kutuma maombi ni - 8th November, 2021 

 ðŸ‘‰Kujua zaidi pamoja na kutuma Maombi <<BOFYA HAPA>>

👉Kupata nafasi mbalimbali za kazi Serikalini na mashirika binafsi <<BOFYA HAPA>>


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: TAKUKURU Wametangaza Nafasi 350 za Kazi....Bofya Hapa Kutuma Maombi
TAKUKURU Wametangaza Nafasi 350 za Kazi....Bofya Hapa Kutuma Maombi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEh25esNMYFZFLals8eDzP1a4Ju-Ks5QLSuFKhOCjvxGqx8UCdsRM14dwDnJ9T6O5fQdYgkJQByCJ07UDsyP8S2-LRe9FpgAiRxcMPnk--7xcHfiMJyHp7yh5DjhMpqEom9JDtmCYt0gme2DzGM937MqMI6NX60g6T4bY1RWP34bxY4OFaQeAosc3VjduQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEh25esNMYFZFLals8eDzP1a4Ju-Ks5QLSuFKhOCjvxGqx8UCdsRM14dwDnJ9T6O5fQdYgkJQByCJ07UDsyP8S2-LRe9FpgAiRxcMPnk--7xcHfiMJyHp7yh5DjhMpqEom9JDtmCYt0gme2DzGM937MqMI6NX60g6T4bY1RWP34bxY4OFaQeAosc3VjduQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/takukuru-wametangaza-nafasi-350-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/takukuru-wametangaza-nafasi-350-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy