Rais Samia Ashusha Bei Ya Maji Vijijini
HomeHabari

Rais Samia Ashusha Bei Ya Maji Vijijini

Wizara ya maji imetangaza Rasmi Bei elekezi za Gharama za Maji vijijini na kufanya uchambuzi wa Bei za Maji kwenye Vyombo vya watoa hudum...

Msukuma atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PHD)
Habari Katika Magazeti ya Leo Disemba 6
Kenya: Watu 20 wafariki dunia katika basi lililosombwa na mto


Wizara ya maji imetangaza Rasmi Bei elekezi za Gharama za Maji vijijini na kufanya uchambuzi wa Bei za Maji kwenye Vyombo vya watoa huduma za Maji ngazi ya Jamii na kuzionya jumuiya za maji kuzingatia maelekezo hayo kwani haitawafumbia macho watakaokwenda kinyume.

Waziri wa Maji Juma Aweso ameziweka wazi bei za kikomo kwa ndoo ya lita 20 kama ifuatavyo ikiendana na mifumo/nishati inayotumika kusukuma Maji ambapo Mfumo wa Nishati ya mafuta ndoo ya lita 20 ni shillingi 50, Mfumo/Nishati ya Umeme Jua shillingi 30, Mserereko Shillingi 20 Umeme wa Tanesco shillingi 40 na Pampu za mkono Bei iwe shillingi 20.

Amesema Bei za Ukomo kwa mita ya ujazo itakua shillingi 2,500/= kutoka shillingi 5,000/= ilivyokua na hivyo Bei za ukomo kwa ndoo ya lita 20 itakua shillingi 50 badala ya shillingi 100 ya awali.

Awali amesisitiza kuwa hii ni dhamira ya dhati ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi ya Wizara ni kutekeleza maono hayo kwa kuwapunguzia mzigo wanancho vijijini.

Pia Aweso ametoa vifaa vitakavyotumika katika utendaji kazi ikiwa ni pikipiki 250 kuongeza kwenye 145 zilizokwisha kugawiwa awali mwaka jana ikiwa ni jumla ya 395 kwenda kuboresha utendaji kazi, ufuatiliaji, usimamizi na utekelezaji wa majukumu sekta ya maji vijijini.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Samia Ashusha Bei Ya Maji Vijijini
Rais Samia Ashusha Bei Ya Maji Vijijini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOY8yM56cvpz4Xe3Dh4-MGqKz0Ik__jotfI4JDkB0Vg_bZphp_NOcYCLfWGWCgr6ObqC0mzhY3Hjt3HZXRZN6Jm-qSeoHvHLIROWm7QM-oSlDKop_slI9fQmHLiGHak0dxqnMk1isMjcf6cwAhav-zBrHrxKy8ywPH9XqRrjOPWrymbgTsFlOS_3_E8Q/s16000/Samia-Suluhu.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOY8yM56cvpz4Xe3Dh4-MGqKz0Ik__jotfI4JDkB0Vg_bZphp_NOcYCLfWGWCgr6ObqC0mzhY3Hjt3HZXRZN6Jm-qSeoHvHLIROWm7QM-oSlDKop_slI9fQmHLiGHak0dxqnMk1isMjcf6cwAhav-zBrHrxKy8ywPH9XqRrjOPWrymbgTsFlOS_3_E8Q/s72-c/Samia-Suluhu.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/rais-samia-ashusha-bei-ya-maji-vijijini.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/rais-samia-ashusha-bei-ya-maji-vijijini.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy