Kizimbani kwa kukutwa na sehemu za siri za mwanamke na wanyamapori
HomeHabari

Kizimbani kwa kukutwa na sehemu za siri za mwanamke na wanyamapori

MKAZI wa Maswa Mkoani Simiyu, Salum Nkonja maarufu kama Emmanuel Mkonja , amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi akikabiliwa na kesi...


MKAZI wa Maswa Mkoani Simiyu, Salum Nkonja maarufu kama Emmanuel Mkonja , amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi akikabiliwa na kesi ya Uhujumu uchumi yenye mashitaka 11 yakiwemo ya kukutwa na sehemu za siri za mwanamke na nyara za serikali. 

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Caroline Matemu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Ramadhani Rugemalila imedai mshtakiwa alikutwa na kosa hilo Oktoba 30, mwaka 2017, katika Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam,.

Inadaiwa katika shtaka la kwanza hadi la nane kati ya Oktoba 30 na Novemba 30, 2017 huko bungo, Dar es Salaam, mshtakiwa huyo alikutwa akimiliki nyara za serikali zenye thamani ya Jumla ya Sh 20,536,555.

Amezitaja nyara hizo kuwa ni uume wa Mbwamwitu wenye thamani ya sh 2,272,600, uume wa Nyumbu wenye thamani ya sh 1,477,450, mikia mitano ya ngiri yenye thamani ya sh 5,114,250 na uume wa fisi mitatu, yenye thamani ya sh 3,750,450.

Pia alikutwa akimiliki yai moja la Mbuni lénye thamani ya sh 2,827,600, ngozi moja iliyokaushwa ndege aina ya Ngekewa mwenye thamani ya sh 227,300 na kichwa kimoja cha nyoka aina ya Kobra chenye thamani ya sh 193,205.

Pia mshtakiwa Mkonje anadaiwa kukutwa akimiliki viungo vya binadamu ambavyo ni sehemu za siri za mwanamke tano, mafuvu mawili ya binadamu na chuchu tano za mwanamke.

Hata hivyo mshtakiwa amekana kukutwa na viungo hivyo na amerudishwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na wadhamini wawili waliopaswa kusaini bondi ya Sh. Milioni tano.

Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo umeishakamilika na kesi hiyo imeahirishwa hadi Julia 5, 2022 itakapokuja kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali na kesi kuanza kusikilizwa.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kizimbani kwa kukutwa na sehemu za siri za mwanamke na wanyamapori
Kizimbani kwa kukutwa na sehemu za siri za mwanamke na wanyamapori
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFzkNtEwBWBfzs6wvqb7xdaopn90jjl1Kqhpz0M1qw651HWnCDf_fmCEerg8A8c3h8UObaMynJpnfpPlRxniCIxb1PnuaM707Kvz5Vjk1BcRpsgqFOW6KxEviFtiN5CnWSR4jlXaDM2Z5hkiTDGr3uPk1as9HwFc4L33tcATwwUoDvoVbXul5C90v37A/s16000/IMG-20220621-WA0047(1).jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFzkNtEwBWBfzs6wvqb7xdaopn90jjl1Kqhpz0M1qw651HWnCDf_fmCEerg8A8c3h8UObaMynJpnfpPlRxniCIxb1PnuaM707Kvz5Vjk1BcRpsgqFOW6KxEviFtiN5CnWSR4jlXaDM2Z5hkiTDGr3uPk1as9HwFc4L33tcATwwUoDvoVbXul5C90v37A/s72-c/IMG-20220621-WA0047(1).jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/kizimbani-kwa-kukutwa-na-sehemu-za-siri.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/kizimbani-kwa-kukutwa-na-sehemu-za-siri.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy