NATO Yasisitiza Haitaingilia Kijeshi Mzozo wa Ukraine na Urusi
HomeHabari

NATO Yasisitiza Haitaingilia Kijeshi Mzozo wa Ukraine na Urusi

Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz amerudia kusisitiza kwamba Jumuia ya Kujihami ya NATO haitoingilia kijeshi nchini Ukraine baada ya Rais...

TIC YAKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NDANI YA NCHI
Habari kubwa Magazetini Kenya leo July 26, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 26, 2024


Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz amerudia kusisitiza kwamba Jumuia ya Kujihami ya NATO haitoingilia kijeshi nchini Ukraine baada ya Rais wa nchi hiyo, Volodymyr Zelensky kuliomba bunge la Ujerumani kusaidia kuilinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa Urusi. 

Scholz amemshukuru Zelensky kwa maneno yake mazuri kwa Bunge la Ujerumani, Bundestag leo asubuhi. 

Hata hiyo, Scholz amesema jambo moja linapaswa kuwekwa wazi kwamba NATO haitoingilia kati kijeshi katika vita vya Ukraine. Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg amesema leo kuwa jumuia hiyo imeazimia kuzuia vita nchini Ukraine visiongezeke zaidi. 

Akizungumza na waandishi habari katika mkutano wa pamoja na Scholz mjini Berlin, Stoltenberg amesema NATO ina jukumu la kuuzuia mzozo huo usizidi kuongezeka. 

Aidha, amepongeza juhudi za Scholz za kutafuta suluhu ya kidiplomasia katika vita hivyo, ikiwemo kuwasiliana moja kwa moja na Rais wa Urusi, Vladimir Putin.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NATO Yasisitiza Haitaingilia Kijeshi Mzozo wa Ukraine na Urusi
NATO Yasisitiza Haitaingilia Kijeshi Mzozo wa Ukraine na Urusi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvvQVaD_yjDhh5VmlFCSLw-2buJyL7C7txptG4ruLHMI9OXIX9DvrW6FDIPtPj_Bg6sRNDzMIH0GBPYiiqjbJ45eK0cb0V0IMF_LF821y088seHqD32t7XNJN_Ko52aSllE6LqoQLeb1LSnND2NH9mDif7sQPEGPI_ASSCOWRE2bDtix4FGiVTD4HrZw/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvvQVaD_yjDhh5VmlFCSLw-2buJyL7C7txptG4ruLHMI9OXIX9DvrW6FDIPtPj_Bg6sRNDzMIH0GBPYiiqjbJ45eK0cb0V0IMF_LF821y088seHqD32t7XNJN_Ko52aSllE6LqoQLeb1LSnND2NH9mDif7sQPEGPI_ASSCOWRE2bDtix4FGiVTD4HrZw/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/nato-yasisitiza-haitaingilia-kijeshi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/nato-yasisitiza-haitaingilia-kijeshi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy