KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA
HomeMichezo

KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA

  K OCHA Msaidizi wa AS Vita,  Raoul Shungu ameibuka na  kusema kuwa kitendo cha  Yanga kuwanasa nyota wake  wawili, mshambuliaji Fiston M...


 KOCHA Msaidizi wa AS Vita, Raoul Shungu ameibuka na kusema kuwa kitendo cha Yanga kuwanasa nyota wake wawili, mshambuliaji Fiston Mayele na beki Djuma Shaban basi ana uhakika wapinzani wao wakiwemo Simba watapata tabu kutokana na kuutambua ubora wa wachezaji hao.


Shungu ametoa kauli hiyo baada ya 
Yanga kumalizana na nyota hao wa AS Vita kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Akizungumza na Championi Jumamosi, Shungu alisema kuwa kwake Mayele na Djuma ni wachezaji wakubwa na wenye uzoefu wa michuano mikubwa, hivyo anaamini watakuwa na mchango wa kutosha ndani ya Yanga katika msimu ujao wa ligi.

 

“Kiukweli sina shida ya ubora wa Djuma wala Mayele kwa sababu ni wachezaji wenye uzoefu mkubwa na michuano ya kimataifa na wana uwezo wa kucheza kwenye uwanja wowote kama ilivyokuwa kwa Mukoko (Tonombe) na Tuisila (Kisinda) ambavyo wamefanikiwa katika ligi ya huko.

 

"Naamini timu pinzani watapata tabu kutokana na namna Yanga walivyoamua kuijenga timu yao kwa sababu wanataka kuwa bora, wanataka kushinda makombe kama ilivyo kuwa huko nyuma na aina ya wachezaji wanaojaribu kuwaleta wakiwemo Mayele na Djuma,” alisema Shungu.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA
KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDTqalBMpPMByS5roVvmbBzZxBuOHN3a4wBKdWg9esgZF_W3N8EiqiPlz6Ut5v1y5t2HJXF3OLS5b4bmzfv9E2PAZpsnIjChZNR5dFU-MuoYxTnW1uJ5Z6g_B2Vf_ROzB0NY5zb8Xj4D6P/w640-h640/yangasc-229293030_4215562708564967_2771228983420877085_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDTqalBMpPMByS5roVvmbBzZxBuOHN3a4wBKdWg9esgZF_W3N8EiqiPlz6Ut5v1y5t2HJXF3OLS5b4bmzfv9E2PAZpsnIjChZNR5dFU-MuoYxTnW1uJ5Z6g_B2Vf_ROzB0NY5zb8Xj4D6P/s72-w640-c-h640/yangasc-229293030_4215562708564967_2771228983420877085_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/kwa-mayele-na-djuma-yanga-imepata-watu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/kwa-mayele-na-djuma-yanga-imepata-watu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy