AZAM FC YAWAWEKA KANDO WAARABU
HomeMichezo

AZAM FC YAWAWEKA KANDO WAARABU

  NAHODHA na beki wa kati wa Azam FC, Aggrey Morris ameibuka na kusema kuwa kwa sasa akili na malengo yao yapo katika mchezo wao wa marudi...

LIONEL MESSI ALITUMIA MIAKA 20 BARCELONA
GREALISH AVUNJA REKODI YA USAJILI
OLIMPIKI NA NGAO YA HISANI KUKUPA USHINDI MNONO WIKIENDI HII

 NAHODHA na beki wa kati wa Azam FC, Aggrey Morris ameibuka na kusema kuwa kwa sasa akili na malengo yao yapo katika mchezo wao wa marudiano dhidi ya Horseed ya Somalia na si kwa Pyramids ya Misri.

 Azam imefanikiwa kushinda mabao 3-1 dhidi ya Horseed katika mchezo wa kwanza hatua ya awali kwenye Kombe la Shirikisho katika mchezo uliopigwa Jumamosi kabla ya mchezo wa marudiano unaotarajiwa kupigwa Septemba 18, mwaka huu.

 

Akizungumza na Championi JumatatuMorris alisema kuwa bado wana kazi kubwa ya kuhakikisha wanafuzu hatua inayofuata kwa kuwa hawapaswi kuwabeza wapinzani wao ambao wameonyesha upinzani mkubwa hivyo haitokuwa rahisi kuwafikiria Pyramid watakaocheza nao kwenye hatua ya pili.

 

“Unajua hii michuano siyo rahisi kwa sababu watu huenda wakaichukulia Horseed ni timu nyepesi kwa kuwa imetoka Somalia lakini kwetu bado ni mechi ngumu ambayo tunahitaji ushindi hivyo ni jukumu la kila mchezaji kuhakikisha anapambana ili tuweze kusonga mbele.

 

“Kiukweli kwa sasa ni ngumu kuweza kuwafuatilia au kuwafikiria Pyramids kwa kuwa bado hatujamaliza hatua hii ingawa kila mtu anajua timu itakayopita hapa itaenda kukutana na Pyramids ila kwa sasa ni jambo ambalo hatuwezi kulipa nafasi,” alisema Morris.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC YAWAWEKA KANDO WAARABU
AZAM FC YAWAWEKA KANDO WAARABU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGS3n6CQbfiI5LuHYQ63oN5fsquzxIeggkivM3iztOvey-RZd9vVo1j5vk3jz37cCdqmWx9fSQWtaFYq7gfWL7OT6PjY_YruXVwajE3vw4ueakHZKzH6mK0vJhv8tFsdp5Eh1iLyuyyKC9/w640-h640/241400418_4678565718854989_5518276761144347757_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGS3n6CQbfiI5LuHYQ63oN5fsquzxIeggkivM3iztOvey-RZd9vVo1j5vk3jz37cCdqmWx9fSQWtaFYq7gfWL7OT6PjY_YruXVwajE3vw4ueakHZKzH6mK0vJhv8tFsdp5Eh1iLyuyyKC9/s72-w640-c-h640/241400418_4678565718854989_5518276761144347757_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/azam-fc-yawaweka-kando-waarabu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/azam-fc-yawaweka-kando-waarabu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy