Aweso amsimamisha kazi afisa ugavi kwa kosa la kufanya udalali
HomeHabari

Aweso amsimamisha kazi afisa ugavi kwa kosa la kufanya udalali

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa maagizo saba kwa watumishi wa wizara hiyo, likiwemo la kumsimamisha kazi Afisa Ugavi wa Bonde la Zone ...

Bilioni 123 zajenga barabara ya Nyahua - Chaya
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 18
Viongozi wa serikali washauriwa kuzima magari kubana matumizi ya mafuta


Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa maagizo saba kwa watumishi wa wizara hiyo, likiwemo la kumsimamisha kazi Afisa Ugavi wa Bonde la Zone Tanganyika, Victor Kaphifa kwa kosa la kufanya udalali katika wizara hiyo na kuchafua taswira ya wizara.


Maagizo mengine aliyotoa ni pamoja na kufuatilia madeni yote ya wizara pamoja na taasisi, mamlaka za maji, kukagua madeni na madai yaliyowasilisha, hoja za CAG zipatiwe majibu, kwenda kutumia fedha za wizara kwa ajili ya kuendeleza miradi ya Maji, pamoja na kwenda kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuinua sekta ya maji, kufanya kazi na TAKUKURU kuleta mfumo wa manunuzi wa kihasibu.

Aweso amesema hayo katika Mkutano na Wakaguzi wa ndani, Maafisa Ugavi na watu wa Fedha uliofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kusikiliza changamoto wanazokutana nazo katika utendaji wao.

Aweso amesema wizara ya maji haina mashamba wala viwanja hivyo hakuna haja ya kuwa na watumishi ambao ni madalali wa wakandarasi na watoa huduma, huyu mtumishi anapaswa kusimamisha ili asiendelee kuichafua Wizara.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Aweso amsimamisha kazi afisa ugavi kwa kosa la kufanya udalali
Aweso amsimamisha kazi afisa ugavi kwa kosa la kufanya udalali
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2tElVlzRILmRhqLxlG-RgydWvBcZ6mZmfi741V-k10mAh0dmvcgw7GYbe-SyZ1-TStDHPJMJac4V7aZBABbzyR9KaimEl3uuPVAC-AqE1kUjdq3XtW9Tv3NVfmr72lKQcJnLs8Ac4t-o1/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2tElVlzRILmRhqLxlG-RgydWvBcZ6mZmfi741V-k10mAh0dmvcgw7GYbe-SyZ1-TStDHPJMJac4V7aZBABbzyR9KaimEl3uuPVAC-AqE1kUjdq3XtW9Tv3NVfmr72lKQcJnLs8Ac4t-o1/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/aweso-amsimamisha-kazi-afisa-ugavi-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/aweso-amsimamisha-kazi-afisa-ugavi-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy