Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22 nchini Marekani
HomeHabari

Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22 nchini Marekani

Aliyekuwa afisa wa polisi Derek Chauvin amehukumiwa kifungo cha miaka 22 na nusu jela baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya Mmarekani mw...

Waziri Jafo Aahidi Atahakikisha Changamoto Za Muungano Zilizosalia Zinapatiwa Ufumbuzi
Habari Zilizopo katika Magazeti ya Leo April 2
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo April 1


Aliyekuwa afisa wa polisi Derek Chauvin amehukumiwa kifungo cha miaka 22 na nusu jela baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya Mmarekani mweusi George Floyd, mauaji ambayo yalisababisha maandamano makubwa zaidi ya kukomesha ukatili wa polisi dhidi ya watu weusi.

Chauvin ambaye ni mzungu mwenye umri wa miaka 45, alitoa rambi rambi  zake kwa familia ya Floyd katika mahakama ya Minneapolis bila ya kuomba msamaha, kabla ya jaji Peter Cahill kutoa hukumu hiyo ya kifungo cha miaka 22 jela, adhabu ambayo ni ndogo tofauti na kifungo cha miaka 30 walichokuwa wanataka upande wa mashtaka.

 "Kifungo hiki kimetokana na utumiaji mbaya wa nafasi yako kama afisa wa polisi na mamlaka, na pia ukatili uliomfanyia George Floyd," jaji Cahill alimwambia Chauvin aliyekuwa akisikika kwa makini hukumu hiyo.

Uamuzi huo ulisomwa mwisho wa kikao cha kesi hiyo ambapo korti iliutazama ujumbe uliorekodiwa na binti wa Floyd, Gianna Floyd, mwenye umri wa miaka saba.

Wakili wa familia ya Floyd ameutaja uamuzi huo kuwa hatua ya kihistoria kuelekea kupatikana kwa maridhiano na usawa wa jamii mbalimbali.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22 nchini Marekani
Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22 nchini Marekani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIlLukSBJIrge6-n6zEmD1r4bTjC1x_MafT0Viqq-7hdfTPGDeNcxZA06hcKx1JQ7cmA9ebsk8Ne9T21v4jgX7qvHBfKSYOc_uVGNzCv2XZukfgkWpSHH99BzeUVwSP64UeE55Wtt5kcbU/s16000/1.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIlLukSBJIrge6-n6zEmD1r4bTjC1x_MafT0Viqq-7hdfTPGDeNcxZA06hcKx1JQ7cmA9ebsk8Ne9T21v4jgX7qvHBfKSYOc_uVGNzCv2XZukfgkWpSHH99BzeUVwSP64UeE55Wtt5kcbU/s72-c/1.webp
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/afisa-wa-polisi-aliyemuua-george-floyd.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/afisa-wa-polisi-aliyemuua-george-floyd.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy