ISHU YA MILIONI 40 PAMOJA NA KUZIDIWA MBINU, YANGA WATOA TAMKO
HomeMichezo

ISHU YA MILIONI 40 PAMOJA NA KUZIDIWA MBINU, YANGA WATOA TAMKO

BAADA ya nahodha wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile kuweka wazi kuwa walizidiwa kwa kuwa refa hakuwa upande wao, Ofisa Habari wa Yanga ...

WEKA KETE KWENYE NAMBA ZAKO ZA BAHATI KWENYE SLOTI EUROPEAN ROULETTE YA KASINO
DIDIER GOMES ASEPA BONGO
JINA LA KIUNGO AZAM FC LAONDOLEWA STARS, MBADALA WAKE HUYU HAPA

BAADA ya nahodha wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile kuweka wazi kuwa walizidiwa kwa kuwa refa hakuwa upande wao, Ofisa Habari wa Yanga amemtaka nahodha huyo aweze kuthibitisha suala hilo.

Jana, Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, hatua ya 16 bora, ubao ulisoma Prisons 0-1 Yanga na kuwafanya Yanga watinge hatua ya robo fainali.

Asukile aliweka wazi kwamba walishindwa mchezo huo kwa kuwa mwamuzi hakuwa upande wao huku akisema kuwa bao ambalo walifungwa na Yacouba Songne lilikuwa halali.

Kupitia Ukurasa rasmi wa Istagram wa Hassan Bumbuli ameandika namna hii:-" Nahodha wa Tanzania Prisons Benjamin Asukile ametoa tuhuma nzito dhidi ya Yanga, 1. Amesema tuliwazidi kwa sababu tulimuongeza Refa upande wetu, Hili tunataka alithibitishe, Kivipi na kwa namna gani!?

2. Walikuwa wakiwapigia simu na kutaka kutoa Mil 40 (Rushwa) Ili watuachie game, hili pia tunataka alithibishe mbele ya ya Mamlaka husika.

Hakuna namna ambayo Yanga tunaweza kuvumilia kuchafuliwa kwa kiwango hiki. Asukile anasahahu kwamba ushindi pekee ambao timu yake imewahi kuupata tangu msimu wa 2018/19 hadi sasa ni sare tatu tu katika mechi nane.

Msimu wa 2018/19 tuliwafunga mabao 3-1 kwao, pia tukawafunga 2-1 kwa Mkapa. Msimu wa 2019/20 tuliwafunga 1-0 kwao (Samora), wakaambulia sare kwa Mkapa na tukawatoa kwenye FA kwa mabao 2-0.

Msimu huu wamebahatika kupata sare mechi zote mbili za ligi, na jana wamekaa kwao, sasa huo ujasili wa Asukile na kujitoa ufahamu kuona wao ni wababe ameutoa wapi? Tutazifikisha tuhuma hizi zote kwa mamlaka husika ASAP.


Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: ISHU YA MILIONI 40 PAMOJA NA KUZIDIWA MBINU, YANGA WATOA TAMKO
ISHU YA MILIONI 40 PAMOJA NA KUZIDIWA MBINU, YANGA WATOA TAMKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyvtoqfRSj-QHtS1Mvpcvh6ymJgPYZEDxnbl-pjw3FtXK-_45PQDuSqKDSMvx75Uoe83h2U5xZ04jQecPX0nNtZU9ay_XUdU6RTEBzUaVG3Upa8p19plxQPW4-M5E2dracLCDJfij-PsxA/w640-h464/Yacouba+v+Prisons.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgyvtoqfRSj-QHtS1Mvpcvh6ymJgPYZEDxnbl-pjw3FtXK-_45PQDuSqKDSMvx75Uoe83h2U5xZ04jQecPX0nNtZU9ay_XUdU6RTEBzUaVG3Upa8p19plxQPW4-M5E2dracLCDJfij-PsxA/s72-w640-c-h464/Yacouba+v+Prisons.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/ishu-ya-milioni-40-pamoja-na-kuzidiwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/ishu-ya-milioni-40-pamoja-na-kuzidiwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy