YANGA HII SASA SIFA! YAINYONGA POLISI 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI
Kikosi cha Yanga kilichoanza leo
HomeMichezoKitaifa

YANGA HII SASA SIFA! YAINYONGA POLISI 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI

Kikosi cha Yanga kilichoanza leo   YANGA SC imeendeleza wimbi la ushindi katika michuano ya kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani...

Bomu lajeruhi watano
Kamamati za Bunge zawagwaya kina Chenge, Ngeleja
Escrow yauma vigogo BoT, TRA

 YANGA SC imeendeleza wimbi la ushindi katika michuano ya kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan baada ya kuitandika mabao.. timu ya Polisi.

Mbrazil Andrey Coutinho alikuwa wa kwanza kuiandikia Yanga bao la kuongoza katika dakika ya 27 ya kipindi cha kwanza na baadaye dakika ya 33 Mliberia Kpha Sherman aliandika kimiani bao la pili akimalizia mpira mzuri aliotengewa kwa njia ya kichwa na Amissi Tambwe.
SAM_4299
kikosi cha Polisi kilichoanza leo
 Katika dakika ya 56 ya kipindi cha pili, Coutinho aliandika bao la tatu kwa mpira wa adhabu ndogo.
Katika day a 80 Saimon Msuva aliandika bao la nne akimalizia pasi nzuri ya Salum Telela.
Hilo ni bao la nne la Msuva katika mechi mbili tu za mashindano ya Mapinduzi 2015.

Huo ni ushindi wa pili kwa Yanga kwani katika mechi ya kwanza iliyopigwa juzi uwanja wa Amaan, vijana hao wa Hans Van der Pluijm waliitandika Taifa ya Jang’ombe mabao 4-0 ambapo Saimon Msuva alipiga mabao matatu ‘hat-trick’  na moja likifungwa na Sherman.

Yanga chini ya Pluijm wamebadilika kiuchezaji ambapo wanashambulia zaidi tofauti na kipindi cha Marcio Maximo aliyekuwa anatumia mbinu za kujihami zaidi.

Mbali na kushambulia, Yanga wanacheza mpira wa kupasiana kwa dakika zote 90 na kupanga mashambulizi ya maana.
Baada ya mechi hii, majira ya saa 2:00 usiku, mabingwa watetezi wa Tanzania bara, Azam fc watachuana vikali na KMKM ya Zanzibar katika uwanja wa Amaan.

Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mechi mbili kupigwa uwanja wa Amaan ambapo Mafunzo wataoneshana kazi na Mtibwa Sugar fc majira ya saa 11:00 jioni na usiku saa 2:00, Simba watachuana na JKU.
kikosi cha Polisi kilichoanza leo

Katika dakika ya 56 ya kipindi cha pili, Coutinho aliandika bao la tatu kwa mpira wa adhabu ndogo.
Katika day a 80 Saimon Msuva aliandika bao la nne akimalizia pasi nzuri ya Salum Telela.
Hilo ni bao la nne la Msuva katika mechi mbili tu za mashindano ya Mapinduzi 2015.
Huo ni ushindi wa pili kwa Yanga kwani katika mechi ya kwanza iliyopigwa juzi uwanja wa Amaan, vijana hao wa Hans Van der Pluijm waliitandika Taifa ya Jang’ombe mabao 4-0 ambapo Saimon Msuva alipiga mabao matatu ‘hat-trick’  na moja likifungwa na Sherman.

Yanga chini ya Pluijm wamebadilika kiuchezaji ambapo wanashambulia zaidi tofauti na kipindi cha Marcio Maximo aliyekuwa anatumia mbinu za kujihami zaidi.
Mbali na kushambulia, Yanga wanacheza mpira wa kupasiana kwa dakika zote 90 na kupanga mashambulizi ya maana.

Baada ya mechi hii, majira ya saa 2:00 usiku, mabingwa watetezi wa Tanzania bara, Azam fc watachuana vikali na KMKM ya Zanzibar katika uwanja wa Amaan.
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mechi mbili kupigwa uwanja wa Amaan ambapo Mafunzo wataoneshana kazi na Mtibwa Sugar fc majira ya saa 11:00 jioni na usiku saa 2:00, Simba watachuana na JKU.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA HII SASA SIFA! YAINYONGA POLISI 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI
YANGA HII SASA SIFA! YAINYONGA POLISI 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI
http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/SAM_4296.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/yanga-hii-sasa-sifa-yainyonga-polisi-4.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/yanga-hii-sasa-sifa-yainyonga-polisi-4.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy