Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu
HomeHabariTop Stories

Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu

WAZIRI wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amezitaka Taasisi za Umma ambazo hazijaanza kutumia Mfumo mpya wa kielektroniki wa manunuzi ya umma wa ...

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 31, 2024
GSM atangaza rasmi kinywaji kipya, Yanga SC apata Shavu la kukitangaza…
Mama mzazi wa Mbunge Halima Mdee, Theresa Mdee afariki Dunia

WAZIRI wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amezitaka Taasisi za Umma ambazo hazijaanza kutumia Mfumo mpya wa kielektroniki wa manunuzi ya umma wa National – e – Procurement System(Nest) ziwe zimeanza kutumia mfumo huo ili kudhibiti mianya ya fedha za serikali kupotea.

Waziri Nchemba ametoa kauli hiyo leo mapema jijini Dar es Salaam wakati akipokea Ripoti ya Tathmini ya Utendaji Kazi ya Mwaka 2023/24 iliyowasilishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa ununuzi wa Umma [ PPRA ]

Aidha, Dk.Mwigulu ameiagiza PPRA kuendelea kutoa mafunzo kadiri inavyotakiwa, ili kuhakikisha watumiaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Ununuzi wa Umma wa Kielektroniki Tanzania (NeST) wanakuwa na uelewa zaidi na kuendelea kuutumia ili kudhibiti upotevu wa fedha za miradi.

Waziri Mwigulu alikumbusha kwamba, kwa kushirikiana na PPRA, serikali inatarajia kuboresha matumizi ya fedha za umma na kuongeza uaminifu katika mfumo wa manunuzi, ili wananchi wanufaike zaidi na rasilimali za nchi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi PPRA, Dk Leonada Mwagike amesema kuwa pamoja na mafanikio mengine, Mamlaka ikifanikiwa kuokoa Jumla ya Sh 14.94bn/- kupitia ukaguzi na Sh 2.7tril/- kupitia ufuatiliaji.

Aidha, amesisitiza ili kuendelea kudhibiti upotevu wa fedha za miradi, Mamlaka itaendelea kuzichukulia hatua za kisheria taasisi zote ambazo hazitumii mfumo wa NeST katika ununuzi.

The post Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/UdLZ1QV
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu
Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2024/09/IMG-20240928-WA0024-950x624.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2024/09/taasisi-za-umma-tumieni-mfumo-wa-nest.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2024/09/taasisi-za-umma-tumieni-mfumo-wa-nest.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy