Waziri Ummy:’Tujitokeze Kuchanja Chanjo Ya Uviko-19 Ili Tupate Kinga Ya Jamii.’
HomeHabari

Waziri Ummy:’Tujitokeze Kuchanja Chanjo Ya Uviko-19 Ili Tupate Kinga Ya Jamii.’

Na ENGLIBERT KAYOMBO – WAF, Dar Es Salaam. Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoa rai kwa wananchi kuchanja chanjo dhidi ya UVIKO...

Bajeti ya trilioni 14.94 Wizara ya fedha yapita
Mawakili waomba Sabaya akatibiwe uvimbe kichwani
Watumishi Wajengewa Uwezo Kuhusu Mradi Wa Tanzania Ya Kidijitali


Na ENGLIBERT KAYOMBO – WAF, Dar Es Salaam.

Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoa rai kwa wananchi kuchanja chanjo dhidi ya UVIKO-19 ili Tanzania iwe na watu wengi waliochanja na kupata Kinga ya Jamii dhidi ya UVIKO-19.

Waziri Ummy Mwalimu amesema hayo leo Jijini Dar Es Salaam mara baada ya kutembelea Maonyesho ya Kimataifa ya 46 ya Biashara ya Saba Saba akiwa pamoja na Mratibu wa Kimataifa wa Mapambano dhidi ya UVIKO-19 kutoka umoja wa Mataifa Dkt Ted Chaiban ambapo walitoa elimu na hamasa ya chanjo dhidi ya UVIKO-19 kwa wananchi.

“Chanjo dhidi ya UVIKO-19 ni salama na haina madhara na ili tuweze kupata kinga dhidi ya Ugonjwa huu wa UVIKO-19 ni lazima tuchanje” amesema Waziri Ummy Mwalimu.

Waziri Ummy amesema kwamba ili Duniani tuweze kuwa na Kinga ya Jamii na kuudhibiti ugonjwa wa UVIKO-19 inatubidi angalau asilimia 70 ya watu



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Ummy:’Tujitokeze Kuchanja Chanjo Ya Uviko-19 Ili Tupate Kinga Ya Jamii.’
Waziri Ummy:’Tujitokeze Kuchanja Chanjo Ya Uviko-19 Ili Tupate Kinga Ya Jamii.’
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlfD8-FmEK4GS9kSWXtVIjsLxF58VDNvICqp9M6krPf5u95z8_TLModQNDT2iT9H7g5FQCNItXleEqHd6H80EagbAgqIhMTlNLNRqfiN4naCLSgptQ_ldOPbmLnWmVSa9Zx9syTlAKkg_2hutJWlo70HxRM3YjsEHHIhLL3TepZC5MhfQRWseA3rD2MQ/s16000/IMG-20220707-WA0024-1024x574.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlfD8-FmEK4GS9kSWXtVIjsLxF58VDNvICqp9M6krPf5u95z8_TLModQNDT2iT9H7g5FQCNItXleEqHd6H80EagbAgqIhMTlNLNRqfiN4naCLSgptQ_ldOPbmLnWmVSa9Zx9syTlAKkg_2hutJWlo70HxRM3YjsEHHIhLL3TepZC5MhfQRWseA3rD2MQ/s72-c/IMG-20220707-WA0024-1024x574.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/07/waziri-ummytujitokeze-kuchanja-chanjo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/07/waziri-ummytujitokeze-kuchanja-chanjo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy