Serikali yapokea mapendekezo ya wananchi wa Ngorongoro
HomeHabari

Serikali yapokea mapendekezo ya wananchi wa Ngorongoro

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna bora ya kulin...

Mwanaume Wa Miaka 30 Adaiwa Kumuoa Kwa Nguvu Binti Wa Miaka 14 Simanjiro.
Ujenzi Ikulu Ya Chamwino Wafikia Asilimia 91,kukamilika mwezi Mei
Rais Samia awatembelea na kuwajulia hali Mzee Pinda na Mzee Malecela Dodoma


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna bora ya kulinda uhifadhi wa maeneo hayo.
 
Mapendekezo hayo yamewasilishwa kwa Waziri Mkuu jijini Dodoma na wawakilishi wa wakazi wa wilaya hiyo wakiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Shangai, Malaigwanani, Madiwani, wenyeviti wa vijiji, wawakilishi wa wanawake na vijana.
 
Baada ya kupokea mapendezo hayo, Waziri Mkuu Majaliwa amewasisitiza wananchi hao waendelee kuiamini serikali kwani haiwezi kuwa na mipango mibovu kwa wananchi wake.
 
Akizungumzia kuhusu eneo la Msomera lililoko wilayani Handeni mkoani Tanga ambako yanaandaliwa makazi kwa ajili ya kuwahamishia wakazi wa Ngorongoro waliokubali kuhama kwa hiari amesema, ujenzi unandelea vizuri.
 
Amesema ujenzi wa nyumba za makazi 103 upo mbioni kukamilika na pia serikali imepanga kuongeza nyumba nyingine lengo likiwa ni kufikia nyumba 500 kwa ajili ya wakazi hao.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Serikali yapokea mapendekezo ya wananchi wa Ngorongoro
Serikali yapokea mapendekezo ya wananchi wa Ngorongoro
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOJ1OBhTebc8U21oDwL5xQoEl3IDh3srq9N-RarQixXBUh3iT1mDgqOW7Pp9EYAYnn0CYlo-a0-EelNFGGnPgN95xIRPj8rwo0M8Qdix60SDyVZi_ZHghNaLzb8bRIFQYwmr7w_zgHxrelowJCbrxP9UExkz_iCHxdTiXnrHsRvMA56bBCFPJgqSUkkw/s16000/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOJ1OBhTebc8U21oDwL5xQoEl3IDh3srq9N-RarQixXBUh3iT1mDgqOW7Pp9EYAYnn0CYlo-a0-EelNFGGnPgN95xIRPj8rwo0M8Qdix60SDyVZi_ZHghNaLzb8bRIFQYwmr7w_zgHxrelowJCbrxP9UExkz_iCHxdTiXnrHsRvMA56bBCFPJgqSUkkw/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/serikali-yapokea-mapendekezo-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/serikali-yapokea-mapendekezo-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy