Mwanaume Wa Miaka 30 Adaiwa Kumuoa Kwa Nguvu Binti Wa Miaka 14 Simanjiro.
HomeHabari

Mwanaume Wa Miaka 30 Adaiwa Kumuoa Kwa Nguvu Binti Wa Miaka 14 Simanjiro.

Na John Walter-Manyara. Jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Loswaki wilaya ya Simanjiro aliyeju...


Na John Walter-Manyara.
Jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Loswaki wilaya ya Simanjiro aliyejulikana kwa jina Lalahe Karoli (30) kwa tuhumza za kumtorosha na kwenda kuishi kinyumba na mtoto mwenye umri wa Miaka 14 kwa ridhaa ya Baba wa Mtoto.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara Benjamin Kuzaga amethitisha tukio hilo ambapo amesema mbinu iliyotumika ni mtuhumiwa kumtorosha binti huyo na kumpeleka chumbani kwake na kumlazimisha kufanya nae ngono kisha kuishi nae kwa nguvu.

Kamanda Kuzaga amesema kwa kushirikiana na timu ya upelelezi na raia wema walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo kwa mahojiano zaidi.Pia Jeshi hilo limeeleza kuwa limemkamata Baba wa Mtoto aitwaye Lembris Salonic (60) mkazi wa Loswati Terati wilaya ya Simanjiro ndiye aliyeidhinisha kuolewa kwa binti yake huyo.

Kamanda Kuzaga ametoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na jeshi hilo kutoa taarifa ili kupambana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na watoto ambavyo vinarudisha nyuma Maendeleo ya mtoto na jamii kwa ujumla.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mwanaume Wa Miaka 30 Adaiwa Kumuoa Kwa Nguvu Binti Wa Miaka 14 Simanjiro.
Mwanaume Wa Miaka 30 Adaiwa Kumuoa Kwa Nguvu Binti Wa Miaka 14 Simanjiro.
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgeXLW1fPnsvqOo6Bmj3SSc6gCXr-msitr-tPvM8zf7YeNMNTWRxLA8fYs4rXFr6nebKUke8dMdeUCU6UmjTnYsEIPPx6bmB1LKL2zlSiMfNGZx6CxzLL_-TSgeDen5EWRGIwpQPOvoDrP30Q6vejcqtYv1_kvw7f7bb62KcPWlOqhLScJld6iYIq-o3Q=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgeXLW1fPnsvqOo6Bmj3SSc6gCXr-msitr-tPvM8zf7YeNMNTWRxLA8fYs4rXFr6nebKUke8dMdeUCU6UmjTnYsEIPPx6bmB1LKL2zlSiMfNGZx6CxzLL_-TSgeDen5EWRGIwpQPOvoDrP30Q6vejcqtYv1_kvw7f7bb62KcPWlOqhLScJld6iYIq-o3Q=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mwanaume-wa-miaka-30-adaiwa-kumuoa-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mwanaume-wa-miaka-30-adaiwa-kumuoa-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy