Kenya yafunga mpaka wake na Ethiopia huku mapigano yakiendelea Tigray
HomeHabari

Kenya yafunga mpaka wake na Ethiopia huku mapigano yakiendelea Tigray

Kenya imeamua kufunga mpaka wake na Ethiopia kwa muda usiojulikana kufuatia mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo jirani am...

Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 18, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 18, 2024
BREAKING: Rapper P Diddy akamatwa New York , nyumba zake zazingirwa, ni kisa kumpiga Ex wake?, mwanasheria aongea


Kenya imeamua kufunga mpaka wake na Ethiopia kwa muda usiojulikana kufuatia mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo jirani ambayo yamezua wasiwasi kieneo na kimataifa.

Mbali na tangazo hilo kufunga mpaka wake na Ethiopia, serikali ya Kenya imetangaza pia kuwa, imezidisha doria kwenye mpaka wa kilomita 800 ili kudhibiti kuingia nchini kwa wahamiaji haramu.

Serikali ya Nairobi imetawaka pia Wakenya kuwa waangalifu zaidi hasa wale wanaoishi katika maeneo yaliyo jirani na mpaka wa nchi mbili hizo.

Hayo yanajiri wakati Baraza la Bawaziri la Ethiopia limetangaza hali ya hatari nchini kote kwa muda wa miezi sita ijayo kufuatia waasi wa Tigray kuelekea mji mkuu Addis Ababa.

Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed alitangaza hali ya hatari katika kukabiliana na kile alichokiita tishio ambalo linaweza kuisukuma nchi hiyo kusambaratika.

Kundi la Oromo ambalo linashirikiana na waasi wa Tigray nchini Ethiopia limesema kuwa, mji mkuu Addis Ababa huenda ukadhibitiwa katika miezi au wiki kadhaa zijazo, wakati wapiganaji wakisonga mbele kuelekea kusini mwa nchi. Jeshi la Ukombozi wa Watu wa Tigray - TPLF, ambalo limekuwa likipigana na serikali ya Waziri Mkuu Abiy Ahmed kwa mwaka mmoja sasa, limedai kudhibiti maeneo muhimu katika siku za karibuni.

Katika upande mwingine, Michelle Bachelet Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani ukatili na unayanyasi unaoripotiwa kufanyika katika jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia na kuzihimiza pande zote kuitikia wito wa kimataifa wa kukomesha vitendo hivyo


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kenya yafunga mpaka wake na Ethiopia huku mapigano yakiendelea Tigray
Kenya yafunga mpaka wake na Ethiopia huku mapigano yakiendelea Tigray
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjbfskI2Ijtu3wXSazzRNE3z4s3r5gOsrYmzrn9YCW18VDgXScNEE--0mHvfGsuR5P8sv4TKuT-OjHgSEgTznI80oXV-z32nVoPhZR9NEIc-CYoZHXUid9mfB_TCpQgn_116VHU9F_iIdjvj4bsOMcjSOnT2ciVE9GGeKQ-QsqjDq_4Ioit1oTG1Oy-ng=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjbfskI2Ijtu3wXSazzRNE3z4s3r5gOsrYmzrn9YCW18VDgXScNEE--0mHvfGsuR5P8sv4TKuT-OjHgSEgTznI80oXV-z32nVoPhZR9NEIc-CYoZHXUid9mfB_TCpQgn_116VHU9F_iIdjvj4bsOMcjSOnT2ciVE9GGeKQ-QsqjDq_4Ioit1oTG1Oy-ng=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/kenya-yafunga-mpaka-wake-na-ethiopia.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/kenya-yafunga-mpaka-wake-na-ethiopia.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy