Prof.shemdoe Atoa Onyo Kwa Wakurugenzi Wanaoficha Barua Za Uhamisho
HomeHabari

Prof.shemdoe Atoa Onyo Kwa Wakurugenzi Wanaoficha Barua Za Uhamisho

Na Atley Kuni- KAHAMA Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Prof. Riziki Shemdoe amekemea vikali na...

Urusi yasema vikosi vyake vimechukua udhibiti kamili wa Sieverodonetsk
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo June 26
Bunge Lapitisha Bajeti Kuu Ya Serikali Kwa Mwaka 2022/2023


Na Atley Kuni- KAHAMA
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Prof. Riziki Shemdoe amekemea vikali na kuonya tabia ya baadhi ya Wakurugenzi na watumishi wa Idara za Masjala wasio na weledi kuficha barua za uhamisho ambazo tayari zimesainiwa na Katibu Mkuu TAMISEMI, huku wakitengeneza mazingira ya viashiria vya rushwa ili waweze kukabidhi Barua hizo kwa wahusika.

Shemdoe amefikia azma hiyo wakati wa Ziara ya Kikazi wilayani Kahama mkoani Shinyanga iliyomalizika mwishoni mwa juma, ambapo kwa nyakati tofauti amesema amekuwa akipokea malalamiko yasiyo isha juu ya mkwamo huo wa baadhi ya Barua za Uhamisho kutokuwafikia watumishi waliopata uhamisho kwa kwa wakati.

“Kumeibuka wimbi la baadhi ya Wakurugenzi na Watumishi wa sehemu ya cha Masjala katika Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa kushindwa kutoa barua ambazo tayari zimesainiwa na Katibu Mkuu TAMISEMI na kutumwa kwenye Halmashauri, kwaajili yakuwapa wahusika lakini watu wachache kwa matakwa yao wamekuwa wakikwamisha Barua kwenda kwa wahusika, hili halikubaliki na hii ni kwenda kinyume na maadili ya Utumishi wa Umma.” ameonya Shemdoe.

Prof. Shemdoe alisema, kufuatia malalaamiko hayo, hivi sasa Ofisi ya Rais TAMISEMI, inaendelea kufuatilia ili kubaini wale wote wenye kuendekeza vitendo hivyo, aidha kwa kiongozi yeyote wa Halmashauri au mtumishi atakayebainika kufanya unyanyasaji huo, basi sheria itachukua mkondo wake.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI hivi sasa zoezi la uhamisho linafanyika kila baada ya miezi mitatu na Barua zote za Uhamisho zinasainiwa na Katibu Mkuu TAMISEMI, mara baada ya muombaji kukamilisha hatua zote muhimu ikiwa ni pamoja na barua hizo kupitishwa na mamlaka zao za ajira na kuombewa vibali kwa Makatibu Tawala wa Mkoa kabla yakuwasilishwa TAMISEMI kwa hatua za mwisho za uhamisho.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Prof.shemdoe Atoa Onyo Kwa Wakurugenzi Wanaoficha Barua Za Uhamisho
Prof.shemdoe Atoa Onyo Kwa Wakurugenzi Wanaoficha Barua Za Uhamisho
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh78WNdeECvXhOcbKcUKaPN2xT20mr5OSBk-goRchJ5jjRX5G9ZWBeHZ7HJGt7jymAp1BpQL2T-j2xIbeNPh2OfZIcanDWjTQQ-McpweJ7XAmiaCl5H8FDmsCBm012DOE1pmEZCHEOznADd/s16000/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh78WNdeECvXhOcbKcUKaPN2xT20mr5OSBk-goRchJ5jjRX5G9ZWBeHZ7HJGt7jymAp1BpQL2T-j2xIbeNPh2OfZIcanDWjTQQ-McpweJ7XAmiaCl5H8FDmsCBm012DOE1pmEZCHEOznADd/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/profshemdoe-atoa-onyo-kwa-wakurugenzi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/profshemdoe-atoa-onyo-kwa-wakurugenzi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy