ANTONIO Nugaz, Ofisa Uhamasishaji wa Klabu ya Yanga amesema kuwa wachezaji wameonyesha utofauti katika kucheza ndani ya uwanja, pia ameongez...
ANTONIO Nugaz, Ofisa Uhamasishaji wa Klabu ya Yanga amesema kuwa wachezaji wameonyesha utofauti katika kucheza ndani ya uwanja, pia ameongeza kuwa mazingira yalivyo watu wanafurahia matokeo mazuri jambo ambalo ni jema kwao.
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
Kuhusu Fiston Abdulazack amesema kuwa inatokea kushindwa kufanya vizuri jambo ambalo linamuumiza wataendelea kumpa sapoti kwa kuwa wanajenga timu hivyo kukosa kwake penalti sio tatizo kwani hata Messi naye huwa anakosa.
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
COMMENTS