Vijana 854 wa JKT walioandamana kwenda Ikulu watimuliwa
HomeHabari

Vijana 854 wa JKT walioandamana kwenda Ikulu watimuliwa

Mkuu wa majeshi nchini Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amesema vijana 854 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokiuka taratibu kwa kuanz...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 29
Brela Yakusudia Kufuta Makampuni 5,676 Kwa Kushindwa Kukidhi Vigezo
Waziri Mulamula Amwakilisha Rais Samia Mkutano Wa Dharura AU


Mkuu wa majeshi nchini Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amesema vijana 854 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokiuka taratibu kwa kuanzisha mgomo na kuandamana kwenda Ikulu wakishinikiza kuajiriwa jeshini  wamesitishiwa mikataba yao na kurudishwa majumbani.

Mabeyo ameeleza hayo jana Jumamosi Aprili 17, 2021 katika hafla ya kuwatunuku kamisheni maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) mjini Dodoma.

"Aprili 8,  2021 vijana wetu wa JKT wapatao 854 walianzisha mgomo,  kukataa kufanya kazi maeneo mengine  na kufanya maandamano kwenda Ikulu kwa madai ya kutaka kumuona rais ili wadai kuandikishwa jeshini kama walivyoahidiwa na aliyekuwa rais wa Tanzania,  John Magufuli."

"Vijana hao ni kati ya vijana 2400 walioahidiwa kuandikishwa jeshini na walifanya uamuzi huo baada ya jeshi kuamua kuwapunguza katika kazi ya ujenzi wa Ikulu Chamwino baada ya kazi kupungua ili waende kufanya kazi katika maeneo mengine lakini wao wakapinga kwa madai wangekosa kuandikishwa jeshini, " amesema Mabeyo.

Amebainisha kuwa jeshi halikuwa na lengo hilo na limelazimika kusitisha mikataba yao kwa kuwa kosa walilolifanya ni sawa na uasi na hauvumiliki.

Ameeleza kuwa pamoja na  kufanya uchunguzi  wa kwa nini walifanya hivyo,  jeshi limeamua kutafakari upya mpango wa kuchukua vijana wa kujitolea kwa ajili ya kujiunga na JKT.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Vijana 854 wa JKT walioandamana kwenda Ikulu watimuliwa
Vijana 854 wa JKT walioandamana kwenda Ikulu watimuliwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6O8T92y2iVDOl3xZDnUsoTibHzMpbkWwJPGZkRApxnB6KlSlHWNqEABGsQ50KXgCfQyKgvj9lMMWkKuhrqDir0khiuf8oEt2hNaZrcRRdGKslaC7eo1R67Qd3O6uJVrYZvVFSmQQgGreX/s16000/1.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6O8T92y2iVDOl3xZDnUsoTibHzMpbkWwJPGZkRApxnB6KlSlHWNqEABGsQ50KXgCfQyKgvj9lMMWkKuhrqDir0khiuf8oEt2hNaZrcRRdGKslaC7eo1R67Qd3O6uJVrYZvVFSmQQgGreX/s72-c/1.webp
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/vijana-854-wa-jkt-walioandamana-kwenda.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/vijana-854-wa-jkt-walioandamana-kwenda.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy