KUMBE baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC wakati Yanga wakipoteza kwa kufungwa bao 1-0 kuna mashabiki Yanga walilia, shabiki h...
KUMBE baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC wakati Yanga wakipoteza kwa kufungwa bao 1-0 kuna mashabiki Yanga walilia, shabiki huyu amesema kuwa kilio kikubwa cha timu hiyo kwa sasa ni washambuliaji huku wakiwaomba viongozi kutatua matatizo yaliyopo kwenye timu pia ameweka wazi kwamba suala la ubingwa kwao ni ngumu.
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
COMMENTS