TANZANIA KUTOA TIMU NNE KIMATAIFA, MCHORO MZIMA UPO NAMNA HII
HomeMichezo

TANZANIA KUTOA TIMU NNE KIMATAIFA, MCHORO MZIMA UPO NAMNA HII

UONGOZI wa Simba umesema kuwa ni muhimu kwa Watanzania kuendelea kuwaombea dua wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ...

DK MSOLLA ANAKUMBUSHWA MAKOSA WAKATI AKIWA PEMBENI YA USUKANI….
KUWENI MAKINI, SPORTPESA NA WENZAO WASIWAKIMBIE…
SIMBA WAJA NA POINTI OF NO RETURN KUWAKABILI WAARABU

UONGOZI wa Simba umesema kuwa ni muhimu kwa Watanzania kuendelea kuwaombea dua wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ili waendelee kufanya vizuri kwa sababu ni faida kwa Tanzania kiujumla.

Haji Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa msimu ujao Tanzania ikatoa timu nne kwenye mashindano ya kimataifa jambo ambalo ni la kujivunia na linasababishwa na wawakilishi wa Tanzania kwa wakati huu kwenye mashindano ya kimataifa.

Simba imetinga hatua ya robo fainali ikiwa kundi C na ina pointi 13 baada ya kucheza mechi tano mchezo wake unaofuata ni dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa Aprili, 9 na leo kikosi kinatarajiwa kukwea pia.

Manara amesema:-"Watanzania watuombee kwa kuwa katika hili faida ni kubwa na kwa namna ambavyo tunakwenda sioni kama kuna nafasi kwa nchi nyingine kutuzidi kweye nafasi ya timu zitakaocheza kwenye Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho.

"Matumaini yetu ni kwamba kutakuwa na timu nne msimu ujao na hii imesababishwa na namba ya pointi ambazo Simba imeipata labda na Namungo pia.

"Simba inakwenda kutupa pointi ambazo mwakani Tanzania kutakuwa na timu nne ambapo mbili Kombe la Shirikisho na mbili Ligi ya Mabingwa,".




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: TANZANIA KUTOA TIMU NNE KIMATAIFA, MCHORO MZIMA UPO NAMNA HII
TANZANIA KUTOA TIMU NNE KIMATAIFA, MCHORO MZIMA UPO NAMNA HII
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcKQI8bWjixwAOCu-F_iPzv8KbqvBGsxIdM8dU5PbPXOXebl1CIFiaeswC4zhSV8SEbky1TTEm4z_JQVgV9ipL-gQiJPFgpdgKeVlTkX1MDTq8GuiUNXMN68dpEjoaR7YQLqkfSFWi3kK8/w640-h426/Bwalya+v+AS+Vita.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcKQI8bWjixwAOCu-F_iPzv8KbqvBGsxIdM8dU5PbPXOXebl1CIFiaeswC4zhSV8SEbky1TTEm4z_JQVgV9ipL-gQiJPFgpdgKeVlTkX1MDTq8GuiUNXMN68dpEjoaR7YQLqkfSFWi3kK8/s72-w640-c-h426/Bwalya+v+AS+Vita.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/tanzania-kutoa-timu-nne-kimataifa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/tanzania-kutoa-timu-nne-kimataifa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy