SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA ZIMBWE KUWEKWA RADA ZA YANGA
HomeMichezo

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA ZIMBWE KUWEKWA RADA ZA YANGA

BAADA ya kuwa na tetesi kwamba beki wa kushoto wa Simba, Mohamed Hussein ameingia kwenye rada za watani wa jadi, Yanga, Ofisa Habari wa Si...


BAADA ya kuwa na tetesi kwamba beki wa kushoto wa Simba, Mohamed Hussein ameingia kwenye rada za watani wa jadi, Yanga, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara ameomba uongozi umalizana na mchezaji huyo mapema kabla hajasepa huku akiweka wazi kwamba watamruhusu mchezaji huyo kwenda nje ya nchi na sio katika timu nyingine.

Ndani ya Simba, Zimbwe mkataba wake umebaki miezi miwili ambapo bado hajaongeza dili jingine licha ya kuwa kwenye mazungumzo na mabosi hao.

Kupitia ukurasa wa Instagrma wa Haji Manara ameandika namna hii:-"Wewe ndio mchezaji unaeimbwa zaidi na wasanii wa Bongo kwa mahaba yao kwako.

Wewe ni Captain, (nahodha) wetu unaependwa ná kila mmoja ndani ya Simba.

"Hii ni timu ya maisha yako na hapa ndio umekulia na kupata jina lako. Mimi na wewe tuliingia pamoja msimu wa 2014 ni mate wangu. Tumetoka mbali na hii klabu. Tunayajua mengi mazuri na changamoto za klabu hii.

"Tumetengeneza bond kubwa na Simba, hakuna thamani ya pesa itakayotufanya tuondoke Simba kwenda klabu nyingine ya Tanzania.

"Wanasimba wamenituma nikwambie hadharani, umalizane haraka na uongozi wa klabu kuhusu usajili wako na hawatakubali kukupoteza kwa namna yoyote ile. Sanasana watakuruhusu uende nje ya nchi hii.

"Don’t forget, (usisahau) wanaokushawishi leo walikudhihaki jana, usikubali kuiacha team ambayo inakuandaa uwe legendary wake na inayokupa furaha kisha ukacheze team usiyoishabikia eti kwa sababu ya visumuni vya kupita.

"Furaha na amani ya moyo inazidi rupia za kupita !Babra, (Gonzalez) boss wangu, nchi haitatuelewa Zimbwe akiondoka 

"Huyu ni Mtoto wa Simba, limalize hili tuendelee kuonyesha nini Simba inadhamiria katika muendelezo wa ukubwa wake!

"Naombeni tutangeneze hashtag yoyote ya kumtaka Mohammed Hussein Zimbwe Junior aongeze mkataba Simba," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA ZIMBWE KUWEKWA RADA ZA YANGA
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA ZIMBWE KUWEKWA RADA ZA YANGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAn9ChCmP1LZJoOipc1-EPjciGCYXBAAsqgvqsKRFL2x5JA7id1b3RyGKU1Is_sd_mnfTnEx8JTvTSyZhbvUVbIlGhbCIj-0qh5alRVMaD7B-Hllw35JLX4XXK988UPm7Ga6b7wk7CgyET/w486-h640/Tshaba+mazoezi.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAn9ChCmP1LZJoOipc1-EPjciGCYXBAAsqgvqsKRFL2x5JA7id1b3RyGKU1Is_sd_mnfTnEx8JTvTSyZhbvUVbIlGhbCIj-0qh5alRVMaD7B-Hllw35JLX4XXK988UPm7Ga6b7wk7CgyET/s72-w486-c-h640/Tshaba+mazoezi.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-yatoa-tamko-kuhusu-ishu-ya-zimbwe.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-yatoa-tamko-kuhusu-ishu-ya-zimbwe.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy