AISHI MANULA KURUHUSIWA LEO KAIRUKI, KESHO KUIBUKIA SUDAN
HomeMichezo

AISHI MANULA KURUHUSIWA LEO KAIRUKI, KESHO KUIBUKIA SUDAN

 UONGOZI wa Simba umesema kuwa hali ya kipa namba moja wa timu hiyo Aishi Manula kwa sasa ipo sawa baada ya jana kugongana na mchezaji wa ...


 UONGOZI wa Simba umesema kuwa hali ya kipa namba moja wa timu hiyo Aishi Manula kwa sasa ipo sawa baada ya jana kugongana na mchezaji wa JKT Tanzania, Daniel Lyanga.

Manula aliumia dakika ya 67 baada ya kugongana na Lyanga akiwania mpira ndani ya uwanja ambapo wachezaji wote wawili waliumia ila Manula ilikuwa zaidi kwa kuwa alipoteza pia fahamu.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa ameongea na Manula na amemwambia kwamba yupo sawa isipokuwa anaskia maumivu kwa mbali.

"Aliwahishwa hospitali ya Kairuki na alipewa matibabu na kurejea kwenye hali yake ya kawaida kwa kuwa baada ya kupoteza fahamu aliweza kurejewa na fahamu muda mfupi akiwa ndani ya Ambulace.

"Yassin Gembe, daktari wa Simba ambaye alikuwa na Manula ameniambia kwamba yupo sawa na anaendelea vizuri hivyo anaweza kuelekea Sudan kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya Al Merrikh ambapo kikosi kinatarajiwa kuondoka kesho.

"Leo ataruhusiwa na atapewa mapumziko kabla ya kesho kuungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya kujiunga na kikosi kitakachoelekea nchini Sudan,". 

Simba itamenyana na Al Merrikh ya Sudan kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi Machi 6.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AISHI MANULA KURUHUSIWA LEO KAIRUKI, KESHO KUIBUKIA SUDAN
AISHI MANULA KURUHUSIWA LEO KAIRUKI, KESHO KUIBUKIA SUDAN
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguxcl65MCEwyjkyDs_tZho2jOSshag9wZyDk-UMLpCfCk52vq2WDaU_slK09bkFmkvGdxvZbVgoPh5VNvvEGcojYk-mYp0GgE0S_AwF99cH6Vsv8kgXbClE2eQMMKeA4F-PpqIrmDSYi47/w640-h426/Manula+Platinum.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguxcl65MCEwyjkyDs_tZho2jOSshag9wZyDk-UMLpCfCk52vq2WDaU_slK09bkFmkvGdxvZbVgoPh5VNvvEGcojYk-mYp0GgE0S_AwF99cH6Vsv8kgXbClE2eQMMKeA4F-PpqIrmDSYi47/s72-w640-c-h426/Manula+Platinum.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/aishi-manula-kuruhusiwa-leo-kairuki.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/aishi-manula-kuruhusiwa-leo-kairuki.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy