Kila Mwananchi Kupata Nafasi Ya Kuuaga Mwili ya Hayati Dr Magufuli- Chato
HomeHabari

Kila Mwananchi Kupata Nafasi Ya Kuuaga Mwili ya Hayati Dr Magufuli- Chato

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa kila mwananchi aliyefika katika Uwanja wa Magufuli wilayani Chato...

Rais Miseveni awasili Tanzania
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 8, 2025
Moto uliozuka katika shule moja kaskazini mwa Nigeria yaua takriban watoto 17


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa kila mwananchi aliyefika katika Uwanja wa Magufuli wilayani Chato mkoani Geita atapata nafasi ya kupita pembeni ya jeneza lenye mwili wa wa Dkt. John Magufuli kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.

Amewataka Wananchi kuwa watulivu, kwani hata kama itafika usiku, lakini lazima kila mmoja atapata nafasi ya kuaga.

Ameeleza kuwa, utaratibu uliotumika katika baadhi ya maeneo wa kuzungusha mwili uwanjani mwili wa Dkt Magufuli hautatumika wilayani Chato, na ndiyo sababu walitenga siku moja kwa ajili ya wakazi wa Geita na maeneo jirani.

Akizungumza kuhusu msiba huo, Makamu huyo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema haujaigusa Tanzania pekee bali hata nchi za mbali na Jumuiya ya Kimataifa kutokana na utendaji kazi wa Dkt Magufuli ambao uliwaridhisha wengi.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kila Mwananchi Kupata Nafasi Ya Kuuaga Mwili ya Hayati Dr Magufuli- Chato
Kila Mwananchi Kupata Nafasi Ya Kuuaga Mwili ya Hayati Dr Magufuli- Chato
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_yHnJpcQxkxjIaYWb498XztTURuo_R7LBdBeGc8UmU2jqHSUhicoXHZkJ-OX3kDQfyC2seMSbe-8rBSEgH3IKSUu48VzEQClBuahfPxcZRRYacFXiVnp1S2FNgVoEc5f05yvzN4UOtTkl/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_yHnJpcQxkxjIaYWb498XztTURuo_R7LBdBeGc8UmU2jqHSUhicoXHZkJ-OX3kDQfyC2seMSbe-8rBSEgH3IKSUu48VzEQClBuahfPxcZRRYacFXiVnp1S2FNgVoEc5f05yvzN4UOtTkl/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/kila-mwananchi-kupata-nafasi-ya-kuuaga.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/kila-mwananchi-kupata-nafasi-ya-kuuaga.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy