NAMUNGO:YALITOKEA NI SOMO KWETU, TUNARUDI TANZANIA KUJIPANGA
HomeMichezo

NAMUNGO:YALITOKEA NI SOMO KWETU, TUNARUDI TANZANIA KUJIPANGA

 KOCHA Mkuu wa Klabu ya Namungo, Hemed Morocco amesema kuwa mambo ambayo wamekutana nayo nchini Angola ni sehemu ya mchezo jambo ambalo li...

GREALISH AVUNJA REKODI YA USAJILI
OLIMPIKI NA NGAO YA HISANI KUKUPA USHINDI MNONO WIKIENDI HII
KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA

 KOCHA Mkuu wa Klabu ya Namungo, Hemed Morocco amesema kuwa mambo ambayo wamekutana nayo nchini Angola ni sehemu ya mchezo jambo ambalo linawafanya wajipange kwa ajili ya wakati ujao.

Namungo Februari 12 ilisafiri kutoka Bongo mpaka Angola kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora dhidi ya 1 de Agosto ya Angola.

Kilizuiwa Uwanja wa Ndenge wa Luanda Februari 13 kwa kile ambacho kilielezwa kuwa wachezaji wao watatu pamoja na kiongozi mmoja kukutwa na Virusi vya Corona.

Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) pamoja na Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya nje waliweka nguvu kwenye kufuatilia suala hilo ambapo majibu yalitolewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwamba mchezo wao ambao ulipaswa kuchezwa leo umefutwa na Kamati ya maadili italifuatilia suala hilo kwa ukaribu.

Kikosi cha  Namungo kinatarajiwa kurejea leo Februari 14 baada ya mchezo huo kufutwa.

Akizungumza na Saleh Jembe, Morocco amesema kuwa wanashukuru Mungu wapo salama ila yaliyotokea ni somo kwao.

 "Ni changamoto kwetu na ni somo pia hivyo hatuna la kusema kwa sasa,tunarejea kujipanga kwa ajili ya mechi zetu zijazo" ..



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NAMUNGO:YALITOKEA NI SOMO KWETU, TUNARUDI TANZANIA KUJIPANGA
NAMUNGO:YALITOKEA NI SOMO KWETU, TUNARUDI TANZANIA KUJIPANGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQWVmVwidBjjy4n5NKgvmuqcJEmRcqhIkvphyphenhyphenaaY_v1APAkubo26Zt-udtVJCwZ8Xc_FUUaRpJVvEiT_1YTtPxmawVon_dXXl_dezdi2_I9RFmYUi0Q4pklOUHwUI4XkG46cxwq0UUYmDa/w634-h640/Namungo+Angola.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQWVmVwidBjjy4n5NKgvmuqcJEmRcqhIkvphyphenhyphenaaY_v1APAkubo26Zt-udtVJCwZ8Xc_FUUaRpJVvEiT_1YTtPxmawVon_dXXl_dezdi2_I9RFmYUi0Q4pklOUHwUI4XkG46cxwq0UUYmDa/s72-w634-c-h640/Namungo+Angola.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/namungoyalitokea-ni-somo-kwetu-tunarudi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/namungoyalitokea-ni-somo-kwetu-tunarudi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy