NAMUNGO:TUMENYANYASWA KWELI KWA JAMBO AMBALO TUMEFANYIWA
HomeMichezo

NAMUNGO:TUMENYANYASWA KWELI KWA JAMBO AMBALO TUMEFANYIWA

UONGOZI wa Namungo umeweka wazi kuwa kwa kitendo walichofanyiwa na wenyeji wao Angola ni manyanyaso makubwa jambo ambalo limewafanya wasiw...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MKUDE AMUAGA KAHATA FRANCIS
KOCHA MOROCCO WA NAMUNGO KUSUKA UPYA KIKOSI HICHO

UONGOZI wa Namungo umeweka wazi kuwa kwa kitendo walichofanyiwa na wenyeji wao Angola ni manyanyaso makubwa jambo ambalo limewafanya wasiwe na amani ndani ya mioyo yao.

Namungo ambao ni wawakilishi wa Tanzaia kwenye Kombe la Shirikisho walikuwa na kibarua cha kucheza mchezo wa hatua ya 32 bora dhidi ya 1 de Agosto ya Angola ambayo ni mali ya Wanajeshi.

Mchezo huo ambao ulipangwa kuchezwa Februari 14 ulifutwa na Shirikisho la Soka Afrika,(Caf) kutokana na wachezaji wa Namungo pamoja na viongozi kutakiwa kukaa karantini kwa muda kabla ya mchezo.

Pia wachezaji watatu na kiongozi mmoja walizuiwa kuwa kwenye msafara kwa kile ambacho kilielezwa kuwa wamekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona jambo ambalo limekuwa likipingwa na viongozi hao wakisema kuwa sio sawa.

Mpango wa Namungo kureja Bongo Februari 14 ulikwamba baada ya mamlaka ya Angola kuhitaji wachezaji hao watatu pamoja na kiongozi mmoja kubaki karantini jambo lililowasubirisha.

Jana Februari 15 walianza safari mchana na kuwasili Bongo usiku huku wakiwa wamewaacha wachezaji watatu pamoja na kiongozi mmoja wakiwa chini ya uangalizi wa Serikali ya Angola na wakimaliza utaratibu uliowekwa watareja Bongo kwa gharama za Serikali ya Angola.

Hassan Zidadu, Mwenyekiti wa Klabu ya Namungo FC amesema kuwa hawana furaha kwa kile walichofanyiwa kwa kuwa walinyanyaswa bila hatia.

"Tumenyanyaswa bila sababu kwa kuwa hakuna maelezo mazuri ambayo tulikuwa tunapewa, ndani ya mioyo yetu hatukuwa na amani kabisa na tunashukuru kwa dua za Watanzania,". 





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NAMUNGO:TUMENYANYASWA KWELI KWA JAMBO AMBALO TUMEFANYIWA
NAMUNGO:TUMENYANYASWA KWELI KWA JAMBO AMBALO TUMEFANYIWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMu5M1JZbXxwL62wMydMYLMymYGYMhPFS9uGjzbaf3r8USlxQhL0dGsEbcpuc561UEKaLbuoI2oXeOc2rz7tFw0h07Q2ro7MFd6kRcR-WXkbAPRUgR3i_GKYt6xP8LqcBiu1e5hHmeJLVi/w640-h510/Namungo+Dar.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMu5M1JZbXxwL62wMydMYLMymYGYMhPFS9uGjzbaf3r8USlxQhL0dGsEbcpuc561UEKaLbuoI2oXeOc2rz7tFw0h07Q2ro7MFd6kRcR-WXkbAPRUgR3i_GKYt6xP8LqcBiu1e5hHmeJLVi/s72-w640-c-h510/Namungo+Dar.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/namungotumenyanyaswa-kweli-kwa-jambo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/namungotumenyanyaswa-kweli-kwa-jambo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy