HAJI MANARA AGOMEA ISHU YA KUOMBA MSAMAHA KWA YANGA
HomeMichezo

HAJI MANARA AGOMEA ISHU YA KUOMBA MSAMAHA KWA YANGA

 BAADA ya uongozi wa Yanga kumpa Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara muda wa siku 14 za kuomba msamaha na ikiwa atashindwa watampeleka maha...

IBRAHIM AJIBU AAMBIWA AONGEZE JUHUDI NDANI YA UWANJA
MCHEZO MZIMA WA YANGA KUTINGA 16 BORA ULIKUWA NAMNA HII
SIMBA KUIFUNGULIA YANGA KESI SITA MAHAKAMANI,HAWA HAPA WATAJWA

 BAADA ya uongozi wa Yanga kumpa Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara muda wa siku 14 za kuomba msamaha na ikiwa atashindwa watampeleka mahakamani, Manara amesema kuwa hawezi kufanya hivyo kamwe.

Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredric Mwakalebela hivi karibuni aliweka wazi kuwa wanampa siku 14, Haji Manara za kuomba msamaha hadharani kwa kuwa alitumia vibaya mtandao wake wa kijamii kuishusha hadhi jezi ya Yanga.

Mwakalebela alienda mbali kwa kusema kuwa kwa kufanya hivyo kulipunguza mauzo ya jezi za Yanga jambo ambalo wanalihitaji kutoka kwa Manara ni kuomba msamaha hadharani.

"Tunampa Manara (Haji) siku 14 za kuomba msamaha kwa ajili ya kutumia jezi ya Yanga kinyume na utaratibu katika mtandao wake wa kijamii kwa kuweka chapisho ambalo limefanya mauzo ya jezi kushuka.

"Ikiwa hatafanya hivyo siku hizo zikikamilika basi tutachukua hatua ya kwenda mahakamani kumfungulia mashtaka,".

Manara amesema:"Mimi kuomba msamaha siwezi kabisa, haiwezekani jambo hilo kutokea kwa sasa kwani nimezoea kesi tena kesi kama hizi acha kabisa,".

Yanga walitoa kauli hiyo Februari 19,hivyo itakapofika Machi 5 zitakuwa zimekamilika siku hizo 14 ambazo Manara amepewa na mabosi wa Jangwani.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: HAJI MANARA AGOMEA ISHU YA KUOMBA MSAMAHA KWA YANGA
HAJI MANARA AGOMEA ISHU YA KUOMBA MSAMAHA KWA YANGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheHUpC6n_GY-dYQow7Ep6GqF1xjxQ7H8QtiAVKYVU2SyTGbciOvdwxImf4arXe1dMT_X3Mq_nlvVuz1bHO9g0VP1w_KH1i3XUvoFSlB0iqs9VeiSexaVxoKzXELU4xBelDcuVAro47fxqe/w640-h586/Haji+kususa.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheHUpC6n_GY-dYQow7Ep6GqF1xjxQ7H8QtiAVKYVU2SyTGbciOvdwxImf4arXe1dMT_X3Mq_nlvVuz1bHO9g0VP1w_KH1i3XUvoFSlB0iqs9VeiSexaVxoKzXELU4xBelDcuVAro47fxqe/s72-w640-c-h586/Haji+kususa.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/haji-manara-agomea-ishu-ya-kuomba.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/haji-manara-agomea-ishu-ya-kuomba.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy