Ngassa kutimka Yanga, Awaaga Mashabiki, Adai bado anaipenda
HomeMichezoKitaifa

Ngassa kutimka Yanga, Awaaga Mashabiki, Adai bado anaipenda

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga pamooja na timu ya Taifa ya Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa, amewawaaga sambamba na kuwashukuru mashabiki...

VANESSA MDEE ASHINDA TUZO THE BEST FEMALE EAST AFRICA
Yanga, Azam mwisho wa ubishi Leo
Wanawake wanaochelewa kubeba ujauzito waonywa



Mshambuliaji wa klabu ya Yanga pamooja na timu ya Taifa ya Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa, amewawaaga sambamba na kuwashukuru mashabiki wake pamoja na timu nzima kwa muda wote waliokaa pamoja.

Nyota huyo ambaye wikendi iliyopita aliisaidia timu yake kupata ushindi wa bao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika, huku yeye akifunga mabao mawili, ameandika maneno yanayo ashiria kuondoka kunako klabu hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram.

“Kwaheri Yanga, Nakupenda, Nashukuru kwa kilakitu” Ameandika Ngassa kupitia kwenye




Ukurasa wake wa Instagram.IMG_20150316_211613 



Maneno hayo ya Ngassa, Yanahusishwa na matukio ya Juzi katika mchezo dhidi ya Platinum FC, Nyota huyo alipofunga hakushangilia sana kama ambavyo huwa anashangilia siku zote akiwa na furaha, Lakini alionyesha kukunja mikono miwili na kuiweka kifuani ishara ya kuomba msamaha, na pengine akinyanyua mikono juu na chini kuashiria anatoa shukrani na baadaye akaonyesha ishara ya kulia akiweka mkono wake wa kushoto usoni.

Ngassa aliposti picha yake ya juzi akishangilia kwa kulia ambapo aliambatanisha na maneno hayo, kitu ambacho kinaonyesha Yupo njiani kuondoka Yanga.

Kwa muda mrefu sasa Nyota huyo ambaye amewahi kuzichezea timu za Kagera Sugar, Azam FC pamoja na Simba SC, amekuwa hana furaha ya kutosha Jangwani hapo licha ya kuficha ukweli, lakini kwa watu wanao mjua vizuri Ngassa ambaye hadi El Merreikh walikuwa wakitaka huduma yake watakuwa wanakubariana na hili, kwamba hanafuraha licha ya kufunga mabao.
Share na Mwenzako hapo chini
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Ngassa kutimka Yanga, Awaaga Mashabiki, Adai bado anaipenda
Ngassa kutimka Yanga, Awaaga Mashabiki, Adai bado anaipenda
http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/NGASSA-KILIO1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/03/ngassa-kutimka-yanga-awaanga-mashabiki.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/03/ngassa-kutimka-yanga-awaanga-mashabiki.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy