Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana Ukim...
Staa
wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa
kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana Ukimwi na mbaya zaidi
wanaambukizana wao kwa wao.
Akizungumza
na gazeti la Ijumaa, Dude alisema kuwa mastaa wazima ni wa kuhesabika
na kutaja sababu kubwa kuwa ni kubadilishana na kuibiana wapenzi bila
kuwa na woga .
Aidha,
Dude alisema anavyoona yeye ingeanzishwa kampeni ya mastaa wa Bongo
kupima Ukimwi kwani anawahofia watoto wa kizazi kipya zaidi ambao
wanajikuta wanaingia pabaya na kuzima ndoto zao.
COMMENTS