Serikali Kuendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji Na Ufanyaji Biashara Nchini
HomeHabari

Serikali Kuendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji Na Ufanyaji Biashara Nchini

WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt.Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji ...

Mchekeshaji Eliud atua na helkopta Arusha,Watanzania watakiwa kwenda hifadhini
TADB yatia saini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na mchongotv
Wafugaji wa Kizimkazi watembelea mashamba ya Asas Iringa


WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt.Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji biashara nchini na iko tayari kuwawezesha wawekezaji kutoka ndani na nje wenye nia ya kuwekeza nchini.

Dkt. Kijaji ameyasema hayo  wakati  alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Mhe. Donald Wright  kuhusu fursa za uwekezaji na ufanyaji biashara zilizopo Tanzania  pamoja na kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo mbili. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma Aprili 05, 2022.

Akiwa ameambata na Viongozi wa Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara akiwemo Katibu Mkuu Prof. Godius Kahyarara, Naibu Katibu Mkuu  Bw. Ally Gugu, Dkt. Kijaji amemhakikishia Balozi huyo kuwa Serikali iko tayari kuwawezesha wawekezaji kutoka Marekani katika maeneo ya  uzalishaji wa Mbolea na mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo kama ngano, mafuta ya kula na sukari ili kuondoa upungufu uliopo nchini.

Naye Balozi huyo wa Marekani nchini Tanzania amesema Marekani itaendelea kuwekeza na kufanya biashara nchini katika maeneo ya kilimo biashara, uchumi wa blue, uchakataji wa mazao, uwezeshaji vikundi vya wanawake wajasiriamali pamoja na kuandaa maonesho na makongamano mbalimbali yanayolenga kuhamasisha na kukuza biashara nchini.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Serikali Kuendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji Na Ufanyaji Biashara Nchini
Serikali Kuendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji Na Ufanyaji Biashara Nchini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh34iPUQ5p1doEqRqJuCt4SRuSNrNoYdhdKnG3cDM00HGaQweLXkiILIRLe3WE-Ijc2GDgPJ1__wnBUkj4No-UztGW3c59T0iegUARDFmmTBNvF8wJUYFhoCkkH1mChdnbTzrnDcskAQ840Z77aBTtbKxtMKHBVaPJsogxR4pIgPEZn7AgSkk3yB4FWbQ/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh34iPUQ5p1doEqRqJuCt4SRuSNrNoYdhdKnG3cDM00HGaQweLXkiILIRLe3WE-Ijc2GDgPJ1__wnBUkj4No-UztGW3c59T0iegUARDFmmTBNvF8wJUYFhoCkkH1mChdnbTzrnDcskAQ840Z77aBTtbKxtMKHBVaPJsogxR4pIgPEZn7AgSkk3yB4FWbQ/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/serikali-kuendelea-kuboresha-mazingira.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/serikali-kuendelea-kuboresha-mazingira.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy