Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3
HomeHabariTop Stories

Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3

Baraza la Madiwani katika Manispaa ya Geita Mkoani humo limepitisha Bajeti ya Kiasi cha shilingi Bilioni 68. 3 kwa mwaka wa fedha wa 2024/ 2...

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 29, 2024
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 29, 2024
Barcelona washindwa kufunga dili la Dani Olmo

Baraza la Madiwani katika Manispaa ya Geita Mkoani humo limepitisha Bajeti ya Kiasi cha shilingi Bilioni 68. 3 kwa mwaka wa fedha wa 2024/ 2025 kwa ajili ya ujenzi mbalimbali wa miundombinu.

Akizungumza Baada ya kukamilika kwa Baraza hilo Mkurugenzi Manispaa ya Geita , Yefred Myenzi amesema kwa Bajeti iliyopita walikuwa na Makusanyo ya Bilioni 59 ikiwa na ongezeko la Asilimia 13 ambapo kipindi hiki wamedhamilia kupitisha Bajeti ya Bilioni 68 .3 kutoka na vipaumbele walivyo navyo .

” Katika bajeti iliyopita tulikuwa na makusanyo ya Bilioni 59 kimsingi ni ongezeko kama la Asilimia 13 hivi lakini maeneo makubwa ambayo tumejielekeza kwenye ukusanyaji wa Mapato kwanza tumetazama vyanzo vikuu vyetu ambavyo wote tunafahamu Geita ni ya Madini , madini yanachangia asilimia kubwa , kuna mazao kuna mifugo kuna biashara nyingi , Mkurugenzi Manispaa ya Geita, Myenzi.

Katika hatua nyingine Myenzi amesema Baraza pia limepitisha Kiasi cha shilingi Bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo kubwa na lefu ( GEDEKO TOWER ) litakalosaidia kuingiza mapato kwa manispaa ya Geita.

” Vyanzo hivi vya mapato vinatuwezesha angalau mapato ya ndani ya Manispaa ya Takribani Bilioni 21 katika bilioni 68 bilioni 21 ni mapato yanayotokana na vyanzo mbalimbali vya ndani vya Manispaa mapato haya tunayaelekeza katika maeneo mbalimbali ya vipaumbele ambayo yalikuwa na mahitaji makubwa kwa manispaa ikiwemo ujenzi wa miundombinu , ” Mkurugenzi Manispaa ya Geita, Myenzi.

Elias Ngole ni Naibu Meya katika Manispaa ya Geita amesema wao kama wawakilishi wa wananchi wamepitisha Bajeti hiyo kwa lengo la kutekeleza miradi mbalimbali ya Manispaa ya Geita na wananchi wapate kunufaika na huduma hizo.

” Tumetoka kwenye baraza la madiwani kama wawakilishi wa wananchi kwa kupitisha Bajeti yenye thamani ya Bilioni 68 .3 ikumbukwe nyuma kwa bajeti tunayoendelea nayo tulikuwa na Bajeti ya Bilioni 59 kwahiyo tunaongezeko sisi matarajio yetu ni kwamba fedha hizi sasa zinaenda kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii , Naibu Meya Manispaa ya Geita, Elias Ngole.

 

The post Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3 first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/pJelTM8
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3
Manispaa ya Geita yapitisha bajeti ya Bilioni 68.3
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2025/02/264d7bdf-532f-4a0b-896e-09fce72e32fd-950x534.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2025/02/manispaa-ya-geita-yapitisha-bajeti-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2025/02/manispaa-ya-geita-yapitisha-bajeti-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy