Wizara Ya Afya Yapokea Dozi 125,520 Za Alu Zilizotelekezwa Bandarini
HomeHabari

Wizara Ya Afya Yapokea Dozi 125,520 Za Alu Zilizotelekezwa Bandarini

Na. WAMJW- DSM SERIKALI imepokea dozi 125,520 za dawa ya kutibu ugonjwa wa Malaria aina ya ALU zenye thamani ya milioni 51.8 ambazo zime...

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 3, 2024
Takriban watu 25 wamefariki na wengine 53 kujeruhiwa katika ajali ya lori Nigeria
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 2, 2024


Na. WAMJW- DSM
SERIKALI imepokea dozi 125,520 za dawa ya kutibu ugonjwa wa Malaria aina ya ALU zenye thamani ya milioni 51.8 ambazo zimetolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) baada ya mfanyabiashara mwenye dawa hizo kutojitokeza kuchukua mzigo wake bandarini.

Akipokea kwa niaba ya Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima,Mfamasia Mkuu wa Serikali Bw.Daudi Msasi amesema dawa hizo wakizopokea zimeshafanyiwa uchunguzi na Mamlaka husika na zinafaa kwa matumizi ya binadamu

Ametaja dozi zilizopokelewa ni dozi za watu wazima ambazo ni tani tatu na kwamba zitaenda kugawiwa katika vituo vyote vya Afya nchini ili kuwasaidia wananchi katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria

“Tunawashukuru sana TRA kwa kuweza kuona umuhimu wa kusaidia jamii kama ambavyo wamekuwa wakifanya kuhakikisha kwamba tunakuwa katika nafasi moja pindi jamii inavyokumbwa na ugonjwa wa Maralia na sisi tutazifanyia mgao katika vituo vyote vya afya nchini na zitafanyiwa mgao na Bohariya dawa(MSD)”amesema Msasi

Ameongeza kuwa dawa hizo zitagawiwa na MSD kwa haraka ili wananchi waweze kunufaika kwa wakati kwani mwisho wa matumizi ni Novemba 2022.

“Dawa hizi zina nembo ya kijani wananchi watapatiwa kwa gharama ya nusu bei hata kwenye soko la kawaida tunashauri ukiona zina nembo ya kijani mteja anapatiwa kwa nusu bei”alifafanua

Naye,Meneja Msaidizi wa Shughuli za Bandari Bw.Aloni Kyando, alisema dawa hizo ziliiingia nchini Machi 6 mwaka 2020 na baada ya muda mteja hakujitokeza kufuata taratibu za kiforodha.

Pia Kyando ameongeza kuwa kasha la dawa hizo linajumla ya katoni 360 zenye jumla ya kilo 2170 na thamani yake ni zaidi ya milioni 51.8.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Wizara Ya Afya Yapokea Dozi 125,520 Za Alu Zilizotelekezwa Bandarini
Wizara Ya Afya Yapokea Dozi 125,520 Za Alu Zilizotelekezwa Bandarini
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhkWAKfOH9evZGaZ1h74kYWgSaV_iCe-6KG6VU-7-S6tp-7kGfwBEk6M_otf17tc5sQis68IkRn2ovIA1cKS0lQGHzyWAvFBf4u-sQsQ_7n1lJd35o5TNwIi_nS9c7fiVSjADaqb83jTKCd7yfJRi8QpHI-aeWDjrV_K9KhaODTzBsnxlinptD1R71Wwg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhkWAKfOH9evZGaZ1h74kYWgSaV_iCe-6KG6VU-7-S6tp-7kGfwBEk6M_otf17tc5sQis68IkRn2ovIA1cKS0lQGHzyWAvFBf4u-sQsQ_7n1lJd35o5TNwIi_nS9c7fiVSjADaqb83jTKCd7yfJRi8QpHI-aeWDjrV_K9KhaODTzBsnxlinptD1R71Wwg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/wizara-ya-afya-yapokea-dozi-125520-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/wizara-ya-afya-yapokea-dozi-125520-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy