Auawa kwa tuhuma za kumpa ujauzito mke wa mtu
HomeHabari

Auawa kwa tuhuma za kumpa ujauzito mke wa mtu

  Daktari wa mifugo wa kijiji cha Loiborsoit A wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, Malipe Ole Kisota ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu...

Mkuu Wa Jeshi La Polisi Afanya Mabadiliko Madogo Ya Makamanda Wa Polisi
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo February 3
Dkt. Nchemba Ateta Na Chama Cha Watoa Huduma Za Simu Tanzania


 Daktari wa mifugo wa kijiji cha Loiborsoit A wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, Malipe Ole Kisota ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu waliomtuhumu kumpa miamba mke wa ndugu yao.

Imeelezwa kuwa alikatwa na sime sehemu mbalimbali mwilini na ndugu watatu, Lazaro,  Mamei na Supek Mamei, wakimtuhumu kumpa ujauzito mke wa ndugu yao Kinaruu Mamei.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, Marrison Mwakyoma akizungumza Novemba 13,2021 amesema kuwa mauaji hayo yametokea Novemba 11,2021.

Kamanda Mwakyoma amesema chanzo cha kifo hicho ni wivu wa mapenzi, akidai marehemu alikuwa akituhumiwa kutembea na mke wa mtu na alikuwa anatafutwa akawa anajificha na siku ya tukio walimkibiza, kumkamata na kufanya mauaji hayo.

Kamanda Mwakyoma amesema watuhumiwa hao watatu walitoroka kusikojulikana mara baada ya mauaji hayo ila wanaendelea kuwatafuta ili wawafikishe mahakamani.

Credit: Mwananchi



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Auawa kwa tuhuma za kumpa ujauzito mke wa mtu
Auawa kwa tuhuma za kumpa ujauzito mke wa mtu
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEinOHLKV2CsYfXftkXiWX_did7Mk1e7gU_XRsPHExbDZ9589YpRq0t8mqaGhP9pSMZGHyGatqdF8eaeQODJndUKzBsklTcttFbfE93x6ZngnbpUPU-ZD224GN9be0tyerycFFOP7rInnMW0_TAC9eIuIKakGcGq_QYPCREnKIiNOns4H7TinfvJOBQl6w=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEinOHLKV2CsYfXftkXiWX_did7Mk1e7gU_XRsPHExbDZ9589YpRq0t8mqaGhP9pSMZGHyGatqdF8eaeQODJndUKzBsklTcttFbfE93x6ZngnbpUPU-ZD224GN9be0tyerycFFOP7rInnMW0_TAC9eIuIKakGcGq_QYPCREnKIiNOns4H7TinfvJOBQl6w=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/auawa-kwa-tuhuma-za-kumpa-ujauzito-mke.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/auawa-kwa-tuhuma-za-kumpa-ujauzito-mke.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy