Waziri Simbachawene Amaliza Mgogoro Wa Urai Wa Mchezaji Kibu Denis
HomeHabari

Waziri Simbachawene Amaliza Mgogoro Wa Urai Wa Mchezaji Kibu Denis

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene amemaliza mgogoro wa Uraia wa Mshambuliaji wa Simba SC, Kibu D...

Serikali Kuimarisha Mikakati Ya Kukabiliana Maafa
Ndalichako Aelekeza Makosa Ya Kiutendaji Yachukuliwe Hatua Sehemu Za Kazi
Waziri Makamba autangaza mradi wa LNG Kimataifa

Na Mwandishi Wetu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene amemaliza mgogoro wa Uraia wa Mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Denis ambaye awali aliwahi kucheza Klabu ya Mbeya City FC ya Mbeya kabla ya kutua kwa Wekundu wa Msimbazi Simba SC.

Hivi karibuni iliripotiwa kuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Paulsen ameshindwa kumjumuisha Kibu katika Kikosi chake kutokana na kushindwa kutambulika uraia wake rasmi.

Baada ya sakata hilo, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi imejitokeza na kutoa ufanunuzi ambapo sasa Kibu amepewa uraia wa Tanzania kama ilivyotambuliwa awali ambapo aliwahi pia kucheza Taifa Stars.

“Kufuatia Mamlaka aliyopewa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi lililoletwa kwake na TFF, amempa URAIA wa Tanzania Mchezaji wa Mpira wa Miguu, Kibu Denis Prosper, Sept. 30, 2021”, Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia kurasa zake rasmi za Mitandao ya Kijamii.

Mshambuliaji Kibu Denis alicheza mchezo wa kirafiki Julai 13, 2021 kati ya Taifa Stars dhidi ya Malawi ambapo Stars waliondoka na ushindi wa bao 2-0 katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Simbachawene Amaliza Mgogoro Wa Urai Wa Mchezaji Kibu Denis
Waziri Simbachawene Amaliza Mgogoro Wa Urai Wa Mchezaji Kibu Denis
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdhdYPvi7aUIMI-7NxOGtmJaruNNdUtXl5P-T5Dj3ypZbYUK-_Zv5ThEtQ-RjKv0xK8-nbuGEuw45Si2rV67JXDcXFlLtK_96aNYjVC3KqGbOeleJYoF7SbXm1_FMUncaiVc_Q6QNLdeg5/s0/20211003_123716.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdhdYPvi7aUIMI-7NxOGtmJaruNNdUtXl5P-T5Dj3ypZbYUK-_Zv5ThEtQ-RjKv0xK8-nbuGEuw45Si2rV67JXDcXFlLtK_96aNYjVC3KqGbOeleJYoF7SbXm1_FMUncaiVc_Q6QNLdeg5/s72-c/20211003_123716.png
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/waziri-simbachawene-amaliza-mgogoro-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/waziri-simbachawene-amaliza-mgogoro-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy