Ndalichako Aelekeza Makosa Ya Kiutendaji Yachukuliwe Hatua Sehemu Za Kazi
HomeHabari

Ndalichako Aelekeza Makosa Ya Kiutendaji Yachukuliwe Hatua Sehemu Za Kazi

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu [Kazi Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu] Prof.Joyce Ndalichako amewaelekeza viongozi wa vyama vya wafany...

Vyama 16 Vyachukua Fomu Za Uteuzi Kugombea Ubunge Jimbo La Ushetu Mkoa Wa Shinyanga
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo September 19
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo September 18


Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu [Kazi Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu] Prof.Joyce Ndalichako amewaelekeza viongozi wa vyama vya wafanyakazi waweze kumaliza makosa ya yasio ya jinai kwa watumishi wa umma katika sehemu zao za kazi

Prof.Ndalichako ameyasema hayo Machi 12,2022 katika ukumbi uliopo Rayal hotel jijini Dodoma wakati akifungua mkutano wa baraza kuu la shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania [TUCTA] ambapo amesema haipaswi kuwekwa ndani watumishi wa umma kwa makosa yasiyo ya jinai kwani pamekuwa na tabia ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kuwaweka ndani watumishi wa umma kwa makosa yasio ya jinai.

Hivyo,amesema makossa ya kiutendaji kwa watumishi yachukuliwe hatua sehemu za kazi.

Aidha,Prof.Ndalichako amewaagiza waajiri wote nchini kuhakikisha vikao vya mabaraza ya wafanyakazi vifanyike kwa mujibu wa matakwa ya kisheria ikiwemo kulipa posho stahiki kwa wafanyakazi Kwa upande wake rais wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania [TUCTA] Tumaini Nyamhokya amesema kuna haja kwa serikali kutekeleza ipasavyo kuwarejesha kazini watumishi wa darasa la saba kwani kuna baadhi ya taasisi zimekuwa zikiwakataa na kuwanyima stahiki zao huku mwenyekiti wa kamati ya wanawake wa shirikisho hilo Rehema Ludanga akibainisha kuwa bado kuna changamoto ya utekelezaji wa sheria ya mkataba wa kazi.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Ndalichako Aelekeza Makosa Ya Kiutendaji Yachukuliwe Hatua Sehemu Za Kazi
Ndalichako Aelekeza Makosa Ya Kiutendaji Yachukuliwe Hatua Sehemu Za Kazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjqwbkMLChelbPkBtYJdTdvLPAflfKEciQSvU7U2damIV-hnV3ydchoSMLD6BDxKBqiFTsYruWwxJtBQ1rFJhsthQ4nIIri6Pc-7-YhlJN5RrWEQ2BU85MK-Jmvpys0OD7bO6ns4IJtud7uCkoEl87YuALLBkQ9KfSEmTLcM_u5FAd7ADmVlQVWZWpZPQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjqwbkMLChelbPkBtYJdTdvLPAflfKEciQSvU7U2damIV-hnV3ydchoSMLD6BDxKBqiFTsYruWwxJtBQ1rFJhsthQ4nIIri6Pc-7-YhlJN5RrWEQ2BU85MK-Jmvpys0OD7bO6ns4IJtud7uCkoEl87YuALLBkQ9KfSEmTLcM_u5FAd7ADmVlQVWZWpZPQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/ndalichako-aelekeza-makosa-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/ndalichako-aelekeza-makosa-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy