NEC Yatangaza Uchaguzi Mdogo Wa Ubunge Jimbo La Ngorongoro Na Kata Moja
HomeHabari

NEC Yatangaza Uchaguzi Mdogo Wa Ubunge Jimbo La Ngorongoro Na Kata Moja

 Tume imepokea barua kutoka kwa Mhe. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiitaarifu Tume kuwepo kwa nafasi wazi ya Ubunge k...

Aua mtoto na kumuweka kwenye ndoo
Jeshi la Polisi latoa taarifa kwa vyombo vya habari
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo April 13

 Tume imepokea barua kutoka kwa Mhe. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiitaarifu Tume kuwepo kwa nafasi wazi ya Ubunge katika Jimbo la Ngorongoro, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Mkoani Arusha. Nafasi hiyo ilitokana na kufariki kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Mheshimiwa William Tate Ole Nasha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 27 Septemba, 2021. Mheshimiwa Spika ametoa taarifa hiyo kwa mujibu wa kifungu cha 37 (3) cha Sheria ya  Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.

Vilevile, Tume imepokea barua kutoka kwa Waziri mwenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, akiitaarifu Tume juu ya uwepo wa nafasi wazi ya Diwani katika kata ya Naumbu, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kufuatatia kifo cha aliyekuwa Diwani wa Kata hiyo Mhe. Rashidi Julius Aderehemani wa Chama cha Wananchi (CUF) kilichotokea tarehe 29 Agosti, 2021.

Kwa kuzingatia masharti ya Kifungu 37 (1) (b) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na Kifungu cha 13 (3) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, Tume imeandaa Uchaguzi Mdogo ili kujaza nafasi ya Ubunge Jimbo la Ngorongoro na nafasi za Udiwani kwenye Kata moja Tanzania Bara. Ratiba ya Uchaguzi huo Mdogo ni kama ifuatavyo:



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NEC Yatangaza Uchaguzi Mdogo Wa Ubunge Jimbo La Ngorongoro Na Kata Moja
NEC Yatangaza Uchaguzi Mdogo Wa Ubunge Jimbo La Ngorongoro Na Kata Moja
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhR_UApH4BiOIHJPd0cuUXKWsF-Pvf_Ce4d1RuPV3xlAGPOUAis-LppnhAfP4mBztEVzAkDz41dvOXlzGkl32Y_II_DHhbrW97COPS73Vnnbm6Zcjry4qJJ8bbqDrWhPeKTxTrINZDEN_qre1qmNdVg3kooixlVYZN00IEpUCVmvbewFw5Thj-AursTXw
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhR_UApH4BiOIHJPd0cuUXKWsF-Pvf_Ce4d1RuPV3xlAGPOUAis-LppnhAfP4mBztEVzAkDz41dvOXlzGkl32Y_II_DHhbrW97COPS73Vnnbm6Zcjry4qJJ8bbqDrWhPeKTxTrINZDEN_qre1qmNdVg3kooixlVYZN00IEpUCVmvbewFw5Thj-AursTXw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/nec-yatangaza-uchaguzi-mdogo-wa-ubunge.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/nec-yatangaza-uchaguzi-mdogo-wa-ubunge.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy