NABI:NILITARAJIA KUONA HAYA KUTOKA KWA BANGALA,AUCHO
HomeMichezo

NABI:NILITARAJIA KUONA HAYA KUTOKA KWA BANGALA,AUCHO

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amefichua kwamba, viwango vinavyooneshwa na mastaa wake wapya, Khalid Aucho na Yannick Bangala, alit...

JOHN BOCCO ANALIAMSHA DUDE KILA BAADA YA DAKIKA 56
SIMBA, YANGA ZAGOMBEA SAINI YA KIPA HUYU MZAWA
VIDEO: ISHU YA CAS HAINA FAIDA KWA YANGA, AJIBU NI MCHEZAJI MZURI

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amefichua kwamba, viwango vinavyooneshwa na mastaa wake wapya, Khalid Aucho na Yannick Bangala, alitarajia kuviona kwani aliamini uwezo wao kabla ya kuwasajili.


Nabi alisema kwamba, baada ya kuwafuatilia kwa kipindi kirefu wachezaji hao, ndipo akapendekeza wasajiliwe, hivyo anaamini watafanya makubwa zaidi ndani ya timu hiyo.

Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Nabi alisema: “Tumekuwa na mwanzo mzuri wa msimu huu, tayari tumeshinda Ngao ya Jamii, lakini pia tumepata matokeo mazuri katika mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar na ule wa Geita Gold.


 “Kila mtu anajua kuwa hatukuwa na maandalizi bora sana ya kabla ya msimu, lakini tulifanya kazi kubwa katika mchakato wa usajili na mmeona kuna baadhi ya wachezaji wakiwemo Djigui Diara, Aucho na Bangala ambao wameonesha uwezo mzuri, lakini naamini baada ya kuendelea kuwa pamoja watakuwa bora kuliko sasa.”


 Kwenye mechi hizo mbili Yanga imefunga mabao mawili na kuweza kukusanya pointi sita kibindoni na ipo nafasi ya pili kwenye msimamo kwa msimu wa 2021/22.

Namba moja ni Polisi Tanzania ambayo imeshinda mechi mbili na imefunga jumla ya mabao manne katika mechi hizo za mwanzo wa msimu wa ligi.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NABI:NILITARAJIA KUONA HAYA KUTOKA KWA BANGALA,AUCHO
NABI:NILITARAJIA KUONA HAYA KUTOKA KWA BANGALA,AUCHO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEivCDeniWILOX0k3ZyrMCqTORRiJN91ktdJi0RalUlDNbxx4-A4z5JhzbLSEMyiX8VytQoN7tznuDBv_HfhJCBqjdeJa07LM1TZROJVnNqTKgSiQu9N2FlSq6J_UwMIR8qmct2EvquNgH9p/w640-h454/Bangala+tena.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEivCDeniWILOX0k3ZyrMCqTORRiJN91ktdJi0RalUlDNbxx4-A4z5JhzbLSEMyiX8VytQoN7tznuDBv_HfhJCBqjdeJa07LM1TZROJVnNqTKgSiQu9N2FlSq6J_UwMIR8qmct2EvquNgH9p/s72-w640-c-h454/Bangala+tena.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/nabinilitarajia-kuona-haya-kutoka-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/nabinilitarajia-kuona-haya-kutoka-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy