Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (CPF), Simon Sirro awasili toka Congo.
HomeHabari

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (CPF), Simon Sirro awasili toka Congo.

 Mkuu wa jeshi la polisi nchini, Simon Sirro, leo Oktoba 18, amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhi kijiti cha uenyekiti wa EAPC...

Serikali Kuja Na Mkakati Kukabiliana Na Vifo Vitokanavyo Na Uzembe Wa Baadhi Wa Wataalam Wa Afya.
Habari Zilizopo katika Magazeti ya leo Disemba 20
Maafisa, Askari 14 Wa Tawa Wavishwa Vyeo Vipya Vya Jeshi La Uhifadhimaafisa, Askari 14 Wa Tawa Wavishwa Vyeo Vipya Vya Jeshi La Uhifadhi

 Mkuu wa jeshi la polisi nchini, Simon Sirro, leo Oktoba 18, amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhi kijiti cha uenyekiti wa EAPCCO.. 

Amesema tangu Oktoba 14 hadi leo (jana) Oktoba 18, 2021 amekuwa katika mkutano  uliofanyika katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya (CONGO) kwa ajili ya kukabidhi  uenyekiti  wa Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi ukanda wa mashariki  EAPCCO ambao amehudumu kwa takribani miaka miwili baada ya kuongezewa mwaka mmoja kutokana na ugonjwa wa Corona(Covid-19).

Akikabidhi uenyekiti huo CPF Sirro amesema kuwa ameziambia nchi wanachama 14 juu  ya mafanikio yaliyopatikana kutokana na chuo cha Mafunzo ya wanamaji(Marine) kilichopo jijini Mwanza ambapo jitihada kubwa zimepatikana ikiwemo kuwakamata wahalifu na magari mbalimbali na kusaini mikataba na EAPCCO ambalo ni shirikisho la nchi nane ikiwemo Congo Brazavile, Guinea na Togo ambazo nchi hizo nazo zinaushirika wao ambao ni CAPCO ambazo zimesaini mkataba wa pamoja wa mashirikiano katika mambo makuu ya ulinzi sambamba na mafunzo ya pamoja, Upelelezi pamoja na oparesheni za pamoja kutokana na baadhi ya nchi hizo kuwa na matukio mbalimbali ya kihalifu kwa hiyo chuo  cha Marine Mwanza kitakuwa cha kimataifa katika masuala mazima ya mafunzo kwa CAPCO na EAPCCO.

Aidha CPF, Sirro ameeleza  kuwa hakuna changamoto lakini  kwa wanaojaribu kujihusisha na makosa ya ugaidi, usafirishaji haramu wa binadamu na madawa ya kulevya kutokana na ushirikiano huo wa nchi hizo wamekuwa wakiwakamata  na kuwafikisha watuhumiwa mahakamani kwa hiyo amewaomba watanzania kuendelea kuliamini Jeshi lao la Polisi kwani lipo imara kudhibiti uhalifu unaoweza kujitokeza.

"Naomba watanzania waelewe kuwa viashiria vya Uhalifu vinavyoweza kujitokeza mfano mauaji  uporaji kwenye mabenki na maeneo mengine hapa Tanzania hayapo tu hapa nchini kwetu,  bali yapo dunia nzima kwa hiyo cha msingi ni kutoa taarifa kwa vyombo vya dola ili kufanikisha kudhibiti uhalifu unaoweza kujitokeza"

"Polisi hatuwezi kumaliza vitendo vya kihalifu peke yetu pasipokuwa na ushirikishwaji wa wananchi kwa kutupatia taarifa, amani ni jambo muhimu katika mustakabali wa nchi, hata nyie waandishi wa habari hamuwezi kufanya kazi yenu vizuri kama hakuna amani, tuendelee kushirikiana katika kudumisha Amani" Alimalizia.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (CPF), Simon Sirro awasili toka Congo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (CPF), Simon Sirro awasili toka Congo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj5wQRfLthJAQRxEYiq_IneiZAXR0bKwD19nUcTkSYnDLhsCujMXl9UMOVi7nyha53-GyyJVuFO5CWoJ_PYihAk-m1A2bv5Tp_Gd8WhA2OHiIDjadt_rnjv7tmthIuZLn1zagULR0Q0sHEMrd3XS_QcKY7c3V2s4CvJYFJFxk3HvNszQvI9GNe0ywJHYg
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEj5wQRfLthJAQRxEYiq_IneiZAXR0bKwD19nUcTkSYnDLhsCujMXl9UMOVi7nyha53-GyyJVuFO5CWoJ_PYihAk-m1A2bv5Tp_Gd8WhA2OHiIDjadt_rnjv7tmthIuZLn1zagULR0Q0sHEMrd3XS_QcKY7c3V2s4CvJYFJFxk3HvNszQvI9GNe0ywJHYg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/mkuu-wa-jeshi-la-polisi-nchini-cpf.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/mkuu-wa-jeshi-la-polisi-nchini-cpf.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy