SIMBA WATAMBA KUPATA USHINDI MBELE YA KAIZER CHIEFS LEO, WACHEZAJI KUSEPA NA BONASI
HomeMichezo

SIMBA WATAMBA KUPATA USHINDI MBELE YA KAIZER CHIEFS LEO, WACHEZAJI KUSEPA NA BONASI

  S IMBA inatarajiwa  kushuka uwanjani leo  Jumamosi  katika mchezo  ambao inawezekana  ukawa ni mwendelezo wa timu  hiyo kuandika histori...

AZAM FC WAMPA DILI LA MWAKA MMOJA BEKI MCAMEROON
VIDEO:SIMBA: BEKI MPYA WA SIMBA HATARI, ANATUMIA MIGUU YOTE
YANGA KAZI INAENDELEA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA 2021/22

 SIMBA inatarajiwa kushuka uwanjani leo Jumamosi katika mchezo ambao inawezekana ukawa ni mwendelezo wa timu hiyo kuandika historia ya kipekee kama watafanikiwa kusonga mbele na kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Matumaini ya Simba kufanya vizuri msimu huu, yanakuja kwa kuwa kumekuwa na imani hiyo kutokana na mwendelezo wao mzuri katika michuano hiyo msimu huu tofauti na ilivyokuwa miaka mingine ya nyuma.


Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, amefunguka kuwa, ana uhakika timu yake itapata matokeo dhidi ya Kaizer Chiefs kwenye mechi zote mbili za robo fainali.


Barbara amesema alikaa na kocha, wachezaji pamoja na benchi la ufundi la timu yake, akabaini kuwa kila mtu morali yake ipo juu, hivyo kuna kila sababu ya wao kupata ushindi kwenye mechi hizo.

 

Akizungumzia maandalizi ya mchezo huo kwa upande wa uongozi, Barbara alisema wameshamaliza kila kitu na wamewaambia wachezaji bonasi watakayopata kwa kushinda mchezo huo, hivyo hana wasiwasi kwa kuwa anajua wachezaji wake hawawezi kumuangusha.

 

“Naona kabisa tukishinda mechi zote mbili kwa uwezo wa Mungu, tutawafunga Kaizer hapa Afrika Kusini na tutakwenda kuwafunga pia kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale kwa Mkapa


“Sisi kama viongozi tumeshacheza party yetu na wachezaji wanajua bonasi gani watapata kama watashinda hapa na nini watakivuna wakishinda Dar.

Huu ni mchezo muhimu kuliko michezo mingine yote waliyocheza msimu huu,” alisema Barbara.


Simba wanatarajia kushuka kwenye Uwanja wa Soccer City kutupa karata yao ya kwanza kwenye Hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA WATAMBA KUPATA USHINDI MBELE YA KAIZER CHIEFS LEO, WACHEZAJI KUSEPA NA BONASI
SIMBA WATAMBA KUPATA USHINDI MBELE YA KAIZER CHIEFS LEO, WACHEZAJI KUSEPA NA BONASI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-X2jmQx_n3P-w2mwenebKqQsL7oWhiXRBmzO3LfPizAIuV07vu2niT1W9TTGN7a4hTAE7EibTKpJDinjytGhBIUZFXRKxMCZsITlVlTe9v7OgIFb10vzVlH3EI4O1w5uK8G14PB5CDOIF/w640-h426/Bwalya+Sauzi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-X2jmQx_n3P-w2mwenebKqQsL7oWhiXRBmzO3LfPizAIuV07vu2niT1W9TTGN7a4hTAE7EibTKpJDinjytGhBIUZFXRKxMCZsITlVlTe9v7OgIFb10vzVlH3EI4O1w5uK8G14PB5CDOIF/s72-w640-c-h426/Bwalya+Sauzi.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/simba-watamba-kupata-ushindi-mbele-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/simba-watamba-kupata-ushindi-mbele-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy