KOCHA WA WASOMALI AKUBALI MUZIKI WA AZAM FC
HomeMichezo

KOCHA WA WASOMALI AKUBALI MUZIKI WA AZAM FC

  BAADA ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Azam FC 3-1 Horseed FC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, Kocha Mkuu wa ti...

SAIDO NTIBANZOKIZA AREJEA YANGA,TAYARI KUWAVAA KMC KWA MKAPA
ISHU YA HARUNA NIYONZIMA WA YANGA KUSTAAFU IPO HIVI
AKILI ZA GOMES WA SIMBA ZIPO KWA WATANI ZAKE WA JADI YANGA

 BAADA ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Azam FC 3-1 Horseed FC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, Kocha Mkuu wa timu hiyo kutoka nchini Somalia amesema kuwa haikuwa bahati yao kuweza kushinda kwenye mchezo huo.

Katika mchezo huo kipindi cha kwanza timu zote mbili ziliweza kutupia bao mojamoja na yote yalisabishwa na mapigo huru ambapo kwa Horseed walioanza ilikuwa ni dakika ya 22 kupitia kwa Ibrahim Nor aliyepiga shuti lililomshida mlinda mlango Mathias Kigonya na Azam FC walijibu mapigo  kupitia kwa Ayoub Lyanga kwa kichwa akitumia mpira wa faulo uliopigwa na Idd Seleman, ‘Nado’.

Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha Mkuu wa Horseed FC, Mohamed Hussein Ahmed amesema kuwa hawakuwa na cha kufanya kwa kuwa walizidiwa na wapinzani wao.

“Bahati mbaya sana kwetu tulizidiwa na wapinzani wetu kipindi cha pili lakini kipindi cha kwanza mambo yalikuwa sawa tulijitahidi. Azam FC ni timu nzuri hivyo kwa walichotuonyesha ni funzo kwetu ili tujipange zaidi kwa mchezo wetu ujao,” amesema.

Kwa upande wa Kocha Msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati amesema kuwa uwezo wa wachezaji pamoja na kambi ambayo waliifanya nchini Zambia ni moja ya sababu ya wao kuweza kushinda.

“Ukitazama mchezo ulikuwa mgumu na kila timu ilikuwa inahitaji ushindi, kwa kilichotokea ni pongezi kwa wachezaji kwani walifanya kile ambacho tuliwaambia. Kambi ya Zambia na maandalizi mazuri yametupa matokeo ila bado kazi inaendelea,” alisema.

Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa Septemba 18, Uwanja wa Uhuru ila wenyeji watakuwa ni Horseed FC kutoka Somalia.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KOCHA WA WASOMALI AKUBALI MUZIKI WA AZAM FC
KOCHA WA WASOMALI AKUBALI MUZIKI WA AZAM FC
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4oYVeAuuv4doiWCvpR2g1aJUksqs2J2F-hOUa84v5I82ND1HEPo53ElgkET73ncrI-Xzec3smaMiWuVDpJkt0GYfgoDCdFQgPr5o8_MczoNP1AwMxknegJNWf6iypJZcNzF5cNfRbvpXo/w512-h640/azamfcofficial-242000635_4624502250935556_607087406386072556_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4oYVeAuuv4doiWCvpR2g1aJUksqs2J2F-hOUa84v5I82ND1HEPo53ElgkET73ncrI-Xzec3smaMiWuVDpJkt0GYfgoDCdFQgPr5o8_MczoNP1AwMxknegJNWf6iypJZcNzF5cNfRbvpXo/s72-w512-c-h640/azamfcofficial-242000635_4624502250935556_607087406386072556_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kocha-wa-wasomali-akubali-muziki-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kocha-wa-wasomali-akubali-muziki-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy