Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya Akabidhi Vitendea Kazi Kwa Watumishi Wa Afya Ya Mimea
HomeHabari

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya Akabidhi Vitendea Kazi Kwa Watumishi Wa Afya Ya Mimea

 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya jana  mchana tarehe 22 Februari, 2021 amekabidhi vitendea kazi kwa Watumishi wa Afya ya Mimea...

Mapingamizi Yaendelea Kutawala kesi ya Freeman Mbowe na wenzake
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatangaza Ongezeko la Joto Nchini
Elimu Ya Fedha Kufungua Fursa Za Uwekezaji


 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya jana  mchana tarehe 22 Februari, 2021 amekabidhi vitendea kazi kwa Watumishi wa Afya ya Mimea Kanda ya Kati vyenye thamani ya shilingi milioni 3,688,800.

Makabidhiano ya vitendea kazi hivyo yamefanyika katika ofisi za Wizara ya Kilimo Jijini Dodoma ambapo awali Katibu Mkuu amesema ametoa vitendea kazi hivyo mara baada ya kuwatembelea mwaka jana na kumueleza kuwa wamekuwa wakikabiliwa na ufinyu wa bajeti ya ajili ya kununua vitendea kazi hivyo.

Mratibu wa Afya ya Mimea Kanda ya Kati Bi. Happiness Lopa amemshukuru Katibu Mkuu wa kutimiza ahadi yake na kuahidi kuwa vitendea kazi hivyo vitatumika sawasawa na kusudio lake.

“Kwa niaba ya Watumishi wenzangu wa Kituo cha Afya ya Mimea Kanda ya Kati namshukuru Katibu Mkuu wa kununua vitendea kazi hivi; Ambavyo tutavitumia kwa ajili ya kutekeleza majukumu yetu ya kazi za kila. Vifaa hivi ni muhimu katika kutimiza jukumu moja kati ya majukumu yetu ya kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea kama panzi aina ya nzige, ndege na panya.”

Vitendea kazi vilivyokabidhiwa na Katibu Mkuu kwa Watumishi hao ni pamoja na viatu vigumu (Gum boots) 10, makoti maalum (Overall) 10, vifaa vya kukinga vidole (Gloves) 20, barakoa maalum (Flits mask) 9, miwani maalum 10, makoti maalum (Reflector jacket) 20 na makoti ya mvua (Rain coat) 10.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya Akabidhi Vitendea Kazi Kwa Watumishi Wa Afya Ya Mimea
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya Akabidhi Vitendea Kazi Kwa Watumishi Wa Afya Ya Mimea
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheM7GXHm1Z9ODcewm4jhMbYA8WQlCHe09fL_mnFnYR1QoCTRlKrfj2p5N7cTtmTuRu651-aX7cISMsQJg7eWq94JKJBhhe-548L4OJm_SS6pdI-hn1FX1cZrC_5IOR8h2lfaIPGgGjByUc/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEheM7GXHm1Z9ODcewm4jhMbYA8WQlCHe09fL_mnFnYR1QoCTRlKrfj2p5N7cTtmTuRu651-aX7cISMsQJg7eWq94JKJBhhe-548L4OJm_SS6pdI-hn1FX1cZrC_5IOR8h2lfaIPGgGjByUc/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/katibu-mkuu-wizara-ya-kilimo-gerald.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/katibu-mkuu-wizara-ya-kilimo-gerald.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy