KIUNGO WA KAZI AZAM FC CHINI YA UANGALIZI MKUBWA
HomeMichezo

KIUNGO WA KAZI AZAM FC CHINI YA UANGALIZI MKUBWA

  MFUNGAJI wa bao la kwanza la mashindano kwa msimu wa 2021/22 ndani ya kikosi cha Azam FC, Ayoub Lyanga yupo chini ya uangalizi mkali wa ...

IHEFU FC HAWAJAKATA TAMAA NDANI YA LIGI KUU BARA, MATUMAINI YAKUTOSHA
JEMBE JIPYA LAANZA MAZOEZI NDANI YA KIKOSI CHA YANGA
TAIFA STARS KESHO KAZINI TENA UWANJA WA MKAPA

 MFUNGAJI wa bao la kwanza la mashindano kwa msimu wa 2021/22 ndani ya kikosi cha Azam FC, Ayoub Lyanga yupo chini ya uangalizi mkali wa jopo la madaktari wa Azam FC ili kuweza kumpa huduma itakayomrejesha uwanjani.

Lyanga aliyepachika bao mbele ya Horseed FC katika mchezo wa awali wa Kombe la Shirikisho alikwama kuyeyusha dakika zote 90 Uwanja wa Azam Complex baada ya kupata maumivu ya mguu alitoka dakika ya 81.

Akizungumza na Spoti Xtra, Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit alisema kuwa nyota huyo atakuwa kwenye uangalizi kabla ya kurejea uwanjani kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa marudio.

“Lyanga hakupata majeraha makubwa ila baada ya mchezo ule kumalizika wachezaji walipewa muda wa mapumziko na wanatarajia kuanza mazoezi leo, (Jana) jioni kwa Lyanga kabla ya kuanza mazoezi atafanyiwa uchunguzi na madaktri ambao watatoa taarifa kwamba kama anaweza kuanza mazoezi au la,” alisema Thabit.

Kwa upande wa Kocha Msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati alisema kuwa wanahitaji kupata ushindi kwenye mchezo wao wa marudio ili waweze kutinga hatua ya makundi.

Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa Septemba 18, Uwanja wa Azam Complex na Horseed FC wao walifunga bao moja huku Azam FC ikiwa na mtaji wa mabao matatu.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KIUNGO WA KAZI AZAM FC CHINI YA UANGALIZI MKUBWA
KIUNGO WA KAZI AZAM FC CHINI YA UANGALIZI MKUBWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjqMCDFKZaNm0utPXJJNugA-GKKP2kHeC3XIgTI-M-BY-z9mRh0pSN7maVNeKkAe6_GaXYKrLwVV57cIH9A2Lw8fg4A2Lhu3hJQckK1_1MqYZ0q2h9TAfv6pWAI_A21SBbJeUe6kmFJM-_W/w640-h640/lyanga23-240399771_1147989719057709_6041327387930982221_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjqMCDFKZaNm0utPXJJNugA-GKKP2kHeC3XIgTI-M-BY-z9mRh0pSN7maVNeKkAe6_GaXYKrLwVV57cIH9A2Lw8fg4A2Lhu3hJQckK1_1MqYZ0q2h9TAfv6pWAI_A21SBbJeUe6kmFJM-_W/s72-w640-c-h640/lyanga23-240399771_1147989719057709_6041327387930982221_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kiungo-wa-kazi-azam-fc-chini-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kiungo-wa-kazi-azam-fc-chini-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy