Mahakama Kuamua Hatima Ya Halima Mdee na Wenzake 18 Waliofukuzwa CHADEMA
HomeHabari

Mahakama Kuamua Hatima Ya Halima Mdee na Wenzake 18 Waliofukuzwa CHADEMA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt.Tulia Ackson amesema kwa sasa hawezi kutamka kuwa viti 19 vya wabunge wa Chama cha...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo May 10
Serikali yatangaza ajira mpya 6, 649 za Ualimu na Afya
Rais Samia Amkabidhi Nyumba Rais Mstaafu Jakaya Kikwete


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt.Tulia Ackson amesema kwa sasa hawezi kutamka kuwa viti 19 vya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliofukuzwa uanachama vipo wazi, kwa kuwa suala hilo lipo mahakamani.

Dkt. Tulia ameliambia bunge jijini Dodoma kuwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mamlaka yenye kauli ya mwisho ya utoaji haki ni mahakama.

Amesema kwa kuwa tayari alipokea barua kutoka kwa wabunge hao 19 wakimtaarifu kuwa tayari wamefungua shauri mahakamani kupinga kufukuzwa uanachama. Bunge haliwezi kuingilia mchakato wa mahakama na badala yake linalazimika kusubiri hadi hapo mahakama itakapotoa uamuzi wake.

Tarehe 11 mwezi huu Baraza Kuu la CHADEMA lilitupilia mbali rufaa ya wabunge hao ambao walikuwa wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho, na hivyo kumlazimu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwasilisha barua kwa Spika kumtaarifu kuhusu jambo hilo ili aendelee na taratibu nyingine.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mahakama Kuamua Hatima Ya Halima Mdee na Wenzake 18 Waliofukuzwa CHADEMA
Mahakama Kuamua Hatima Ya Halima Mdee na Wenzake 18 Waliofukuzwa CHADEMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEb2yCa0YPQthbPBIkh50xsTVuiGER-9l88RyHO-qEK0rpVqSzTFvCKf0TrwKpbQW8Yu_lRQCK_7qW7YdmeazxSYBWUSjGsqcTYsHMouNb6vHlJg2Cs6gbW7iQGJtmVLqK1iwJA2TSROSWvOwicP9htGOwEVtEKI4dMDTGs9P2krwQmkDYq82PFTqL3w/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEb2yCa0YPQthbPBIkh50xsTVuiGER-9l88RyHO-qEK0rpVqSzTFvCKf0TrwKpbQW8Yu_lRQCK_7qW7YdmeazxSYBWUSjGsqcTYsHMouNb6vHlJg2Cs6gbW7iQGJtmVLqK1iwJA2TSROSWvOwicP9htGOwEVtEKI4dMDTGs9P2krwQmkDYq82PFTqL3w/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/mahakama-kuamua-hatima-ya-halima-mdee.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/mahakama-kuamua-hatima-ya-halima-mdee.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy