JESSE ACHEKELEA KUFUNGA TIMU YA TAIFA
HomeMichezo

JESSE ACHEKELEA KUFUNGA TIMU YA TAIFA

  JESSE Lingard nyota wa timu ya taifa ya England amesema kuwa kufunga mabao mawili na kutoa pasi moja kwenye timu yake ya taifa ni moja ...

SIMBA: DODOMA JIJI NI TIMU NGUMU, TUNAWAHESHIMU ILA TUPO TAYARI
MWAMBUSI ASEPA YANGA, ISHU YA KUWEPO KWENYE BENCHI MBELE YA AZAM FC ILIBUMA
ARGUERO AINGIA ANGA ZA BARCELONA NA INTER

 


JESSE Lingard nyota wa timu ya taifa ya England amesema kuwa kufunga mabao mawili na kutoa pasi moja kwenye timu yake ya taifa ni moja ya jambo linalompa furaha na anaamini itaendelea kuwa hivyo.

Nyota huyo ametupia katika timu yake ya taifa zikiwa zimeyeyuka jumla ya siku 1,022 kwa kuwa mara ya mwisho Lingard kufunga bao kwa timu yake ya taifa ilikuwa ni Novemba 2018 walipocheza dhidi ya Croatia, Uwanja wa Wembley. 

Lingard alipachika mabao mawili mbele ya timu ya taifa ya Andorra na England ilishinda mabao 4-0 kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia na timu hizo zipo kundi I.

Baada ya kufunga na kutoa pasi nyota huyo alikuwa na furaha na alishangilia kwa mtindo wa Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa ni mali ya Manchester United.

Mabao ya Lingard ilikuwa dakika ya 18 na 78 mengine yalifungwa na Harry Kane ambaye ni nahodha kwa penalti dk ya 72 na Bukayo Saka dk 85.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: JESSE ACHEKELEA KUFUNGA TIMU YA TAIFA
JESSE ACHEKELEA KUFUNGA TIMU YA TAIFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinfm6v9aJ3zbQbuAe6qmgMF5GHUV_L0bmKtwxWdMH8PTRwWfedXTw8Dwu-vUfGYzOOWhjVYNbin-qj0E714uNxFDmWSABwYzDpMjDF1mR9mip6PbkXPlFVI6Q_1jfZwIKNOnmXEv179msl/w640-h430/Screenshot_20210907-063950_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinfm6v9aJ3zbQbuAe6qmgMF5GHUV_L0bmKtwxWdMH8PTRwWfedXTw8Dwu-vUfGYzOOWhjVYNbin-qj0E714uNxFDmWSABwYzDpMjDF1mR9mip6PbkXPlFVI6Q_1jfZwIKNOnmXEv179msl/s72-w640-c-h430/Screenshot_20210907-063950_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/jesse-achekelea-kufunga-timu-ya-taifa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/jesse-achekelea-kufunga-timu-ya-taifa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy