Naibu Waziri Bashe Aagiza Ukamataji Wa Mazao Shinyanga Usitishwe Mara Moja
HomeHabari

Naibu Waziri Bashe Aagiza Ukamataji Wa Mazao Shinyanga Usitishwe Mara Moja

 Na Faustine Gimu Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema mkoa wa Shinyanga unaenda kinyume na Maelekezo ya wizara kwa kukamata mag...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 27
Nafasi Mbalimbali za Kazi Ziliozotangazwa Leo May 26, 2022
Rais Samia Afanya Uteuzi Wa Viongozi Mbalimbali


 Na Faustine Gimu

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema mkoa wa Shinyanga unaenda kinyume na Maelekezo ya wizara kwa kukamata magari yanayobeba mazao ya dengu ,kunde na mbaazi hivyo wanatakiwa kuacha mara Moja kamatakamata hiyo .

Naibu Waziri huyo amesema kuanzia leo magari yote yaliyokamatwa katika mkoa wa Shinyanga yaachiwe mara Moja hivyo amesema kitendo hicho kinachofanywa na uongozi  wa mkoa wa Shinyanga ni Cha kibabe.


Aidha,Bashe amesema mwenye mamlaka ya kuagiza zao liuzwe kwa namna gani katika minada ni Waziri wa Kilimo pekee.

Ameongeza kuwa wafanyabiashara  Wana leseni lakini wanapofika katika mkoa wa Shinyanga wanakamatwa .

"Wafanyabiashara wamelipa ushuru Simiyu lakini wanakamatwa Tinde ,hatutaki namna hii"amesema.

Hata hivyo ,Bashe amesema halitajirudia lililotokea Shinyanga huku akiwapa pole wakulima pamoja na wafanyabiashara waliopata kadhia hiyo.

Zaidi ya Magari 30 ya mazao mbalimbali yalikamatwa mkoani Shinyanga kwa madai ya kutolipa ushuru wa mazao licha ya kulipa katika mikoa mingine



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Naibu Waziri Bashe Aagiza Ukamataji Wa Mazao Shinyanga Usitishwe Mara Moja
Naibu Waziri Bashe Aagiza Ukamataji Wa Mazao Shinyanga Usitishwe Mara Moja
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOO2cjxYHgCScNu_3wVSV1A6bMisUJqCd5Eo6mt08XHbKjsRNLOHtJ_ELtcobkveP9GpAyBRoGHheOTZis4d3ABXO3PcDD3P7pT6V48hRzUAMfWoVa4kbDq2jIqFTNM8IWA_I0rc3soS7g/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOO2cjxYHgCScNu_3wVSV1A6bMisUJqCd5Eo6mt08XHbKjsRNLOHtJ_ELtcobkveP9GpAyBRoGHheOTZis4d3ABXO3PcDD3P7pT6V48hRzUAMfWoVa4kbDq2jIqFTNM8IWA_I0rc3soS7g/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/naibu-waziri-bashe-aagiza-ukamataji-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/naibu-waziri-bashe-aagiza-ukamataji-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy