MATEJA KEZMAN, MSHAMBULIAJI ANAYETAJWA KUWA BORA KWA ZAMA ZAKE
HomeMichezo

MATEJA KEZMAN, MSHAMBULIAJI ANAYETAJWA KUWA BORA KWA ZAMA ZAKE

  MATEJA Kezman nyota wa zamani wa kikosi cha PSG aliletwa duniani Aprili 12,1979 kwa sasa ana umri wa miaka 42 nafasi yake anayoimudu bi...

KUMBE BAO LA MAYELE KWA SIMBA LILIPIKWA NA MATAIFA MATATU
VIDEO:TAZAMA NAMNA KIPA WA BIASHARA UNITED ALIVYOPEWA MKWANJA
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

 


MATEJA Kezman nyota wa zamani wa kikosi cha PSG aliletwa duniani Aprili 12,1979 kwa sasa ana umri wa miaka 42 nafasi yake anayoimudu bila wasi ni ile ya ushambuliaji.


Raia huyo wa Serbia ana urefu wa m 1.81 na alicheza kwa viwango vya juu ndani ya Ligi Kuu England,  Hispania, Ufaransa, Urusi na Hong Kong huko China.


Timu yake ya mwisho kucheza ilikuwa ni South China na alitundika dargah Jqnuqri 31,2012.


Anatajwa kuwa mshambuliaji mwenye uwezo katika kizazi chake na ameshinda mataji kibao katika nyakati tofauti akiwa na timu tofauti pia pamoja na tuzo za ufungaji bora.


Kabatini ana tuzo tano za ufungaji bora ilikuwa ni msimu wa 1999/2000 alipotupia mabao 27 katika Super Liga, 2000/01 alitupia mabao 24 , 2002/03 alitupia mabao 35,2005/04 alitupia mabak 31 na msimu wa 2007/08 alitupia mabao matano.


Ana tuzo moja ya mchezaji bora wa mwaka ndanj ya Netherlands ambapo ilikuwa ni mwaka 2003 taji moja la English Champion alikuwa ndani ya Chelsea msimu wa 2005, taji moja la English League Cup pia ilikuwa ni 2005 akiwa ndani ya Chelsea. 


Taji la ubingwa wa Hong Kong msimu wa 2010/11 ametwaa pia mataji matatu ya Dutch Super Cup akiwa ndani ya PSV Eindhoven ilikuwa ni msimu wa 2001,2002 na 2004.


Jumla amecheza mechi 416 na alitupia mabao 198 na pasi za mabao ilikuwa ni 45.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MATEJA KEZMAN, MSHAMBULIAJI ANAYETAJWA KUWA BORA KWA ZAMA ZAKE
MATEJA KEZMAN, MSHAMBULIAJI ANAYETAJWA KUWA BORA KWA ZAMA ZAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrhyphenhyphenw5Gj1TDW70i-xyfz9RCQYSQoLZ5eih_MWILV3nhX9385LR_RkOQUG4rZy7gy0K36MbF2tAkF8C86_MMSi2qwJtbi7ojwWygyIyY4UWCrzZ-sMLwP7rbYYCwRMDTbGBlRZkA-dRGo_0/w640-h484/Screenshot_20210827-062952_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrhyphenhyphenw5Gj1TDW70i-xyfz9RCQYSQoLZ5eih_MWILV3nhX9385LR_RkOQUG4rZy7gy0K36MbF2tAkF8C86_MMSi2qwJtbi7ojwWygyIyY4UWCrzZ-sMLwP7rbYYCwRMDTbGBlRZkA-dRGo_0/s72-w640-c-h484/Screenshot_20210827-062952_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/mateja-kezman-mshambuliaji-anayetajwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/mateja-kezman-mshambuliaji-anayetajwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy