SAIDO AWAGAWANYA MABOSI YANGA, WENGINE WATAKA ASEPE MAZIMA
HomeMichezo

SAIDO AWAGAWANYA MABOSI YANGA, WENGINE WATAKA ASEPE MAZIMA

  V IONGOZI wa  Yanga wamejikuta  wakiwa katika njia  panda mara baada  ya kupatwa na kigugumizi  cha kuachana au kubaki kwa  mshambuliaji...

VIDEO: RATIBA YA LIGI KUU BARA IPO NAMNA HII, MECHI 15 NYUMBANI NA UGENINI
NABI ANATAKA MABAO MENGI MBELE YA RIVERS UNITED
DEMBELE KUPEWA DILI JIPYA BARCELONA

 VIONGOZI wa Yanga wamejikuta wakiwa katika njia panda mara baada ya kupatwa na kigugumizi cha kuachana au kubaki kwa mshambuliaji wao, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’.


Ntibazonkiza alijiunga na 
Yanga katika usajili wa dirisha dogo uliofanyika Januari 2021 ambapo mpaka sasa ameitumikia klabu hiyo kwa nusu msimu.

 

Chanzo cha kuaminika kutoka Yanga kimeliambia Championi Jumamosi kuwa, viongozi hao mpaka sasa wameshindwa kutoa maamuzi juu ya mchezaji huyo asalie au aachwe ambapo wanaotoka aondoke wametaja sababu ni wingi wa idadi ya wachezaji wa kimataifa ambao unahitaji kuwasajili lakini pia ishu ya majeraha ya mara kwa mara.

 

“Uongozi wa Yanga unashindwa kuamua hatima ya Saido kuwa asalie au aondolewe, kama ambavyo unamuona kuwa mchezaji huyo chini ya kocha Nasreddine Nabi ameshindwa kabisa kutamba katika kikosi cha kwanza huku mara nyingi akiwa katika wachezaji wa akiba.


“Lakini pia ishu ya majeraha ya mara kwa mara ambayo amekuwa akikumbana nayo Saido na kumfanya acheze michezo michache pia imekuwa ni sababu kubwa inayomfanya mchezaji huyo kuufanya uongozi wa kufikiria uwezekano wa kuvunja mkataba wake huku viongozi wengine wakitaka mchezaji huyo asalie,” kilisema chanzo hiko.

 

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Dominick Albinus kuhusu hatma ya mchezaji huyo, alisema kuwa wachezaji wote wa Yanga ambao watasalia ndani ya Yanga na ambao wataondoka basi taarifa itatolewa na uongozi wa timu kama ambavyo taarifa nyingine zilitolewa.

 

“Siwezi kusema lolote kuhusu hilo kwani taarifa zote za wachezaji ambao wanasajiliwa na wale watakaoachwa zitatolewa na utaratibu maalumu wa timu kama ambavyo imetokea katika utolewaji wa taarifa zilizopita,” alisema kiongozi huyo.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SAIDO AWAGAWANYA MABOSI YANGA, WENGINE WATAKA ASEPE MAZIMA
SAIDO AWAGAWANYA MABOSI YANGA, WENGINE WATAKA ASEPE MAZIMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5D3BGcRdzF-C7xnx2GVG5N1Bpl6E-KFooZBkGYhz9qbpyGcMLa08MW_3oZHV9zjvGYzTRugiIApDvIdLaGBWV0LlupK2WvfgC2iAH16h4hImb6FkIbPq3xYmvZj6b5SX_YNG5x-BOKQCe/w640-h640/Ntibanzokiza.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5D3BGcRdzF-C7xnx2GVG5N1Bpl6E-KFooZBkGYhz9qbpyGcMLa08MW_3oZHV9zjvGYzTRugiIApDvIdLaGBWV0LlupK2WvfgC2iAH16h4hImb6FkIbPq3xYmvZj6b5SX_YNG5x-BOKQCe/s72-w640-c-h640/Ntibanzokiza.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/saido-awagawanya-mabosi-yanga-wengine.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/saido-awagawanya-mabosi-yanga-wengine.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy