Rais Samia Aipongeza Burundi Kwa Kuadhimishaa Miaka 59 Ya Uhuru
HomeHabari

Rais Samia Aipongeza Burundi Kwa Kuadhimishaa Miaka 59 Ya Uhuru

 RAIS wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewapongeza wananchi wa Burundi kwa kuadhimisha miaka 59 ya uhuru wa nchi hiyo huku wak...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo August 11
Nafasi Mpya za Kazi Serikalini,NGOs na Makampuni Binafsi
Wanafunzi wawili wafariki kwa kugongwa na gari....Jeshi la Polisi Lamtaka Dereva Ajisalimishe Haraka


 RAIS wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewapongeza wananchi wa Burundi kwa kuadhimisha miaka 59 ya uhuru wa nchi hiyo huku wakiendelea kudumisha amani.

Pia, Mheshimiwa Rais Samia amempongeza Rais wa Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye kwa jitihada zake za kukuza amani, demokrasia na uchumi.

Hayo yamesemwa jana (Alhamisi, Julai Mosi, 2021) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipowasilisha salamu za Rais Samia katika sherehe za maadhimisho hayo jijini Bujumbura.

Burundi ilipata uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Ubelgiji Julai 1, 1962.

“Nipo mbele yako nikimuwakilisha Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Samia. Rais amenituma nilete salamu zake kwako kwamba anawapongeza sana Wana-Burundi kwa kuendelea kukuunga mkono.”

Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Samia amemuhakikishia Rais wa Burundi kwamba ataendeleza uhusiano wa kindugu na wa kihistoria uliopo kati ya nchi hizo mbili na pia ameahidi kuitembelea Burundi.

Kwa upande wake, Rais wa Burundi Mheshimiwa Ndiyashimiye ametumia fursa hiyo kuwasisitiza Wana-Burundi waendelee kushikama na kushirikiana katika kuboresha maendeleo ya nchi yao. “Burundi itajengwa na Warundi wenyewe.”

Amesema kwa sasa wanajivunia hali ya amani na ulivu uliopo Burundi, hivyo amewataka wananchi wa nchi hiyo waendelee kushikamana na wasikubali kulisaliti Taifa lao.

(Mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Samia Aipongeza Burundi Kwa Kuadhimishaa Miaka 59 Ya Uhuru
Rais Samia Aipongeza Burundi Kwa Kuadhimishaa Miaka 59 Ya Uhuru
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUjCamN7OHo9hmvVpRrL_iA4RkAtub6jjkop07lAMH1ZtZRCHPw4kxXDue8xDNnPiqPjCRXHh7jg0NHksfo_s2jUA8Ds84BArqP8SBmjhKdY_T8urtoVew0gX4PoM694R6ifrydEF7O0sf/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUjCamN7OHo9hmvVpRrL_iA4RkAtub6jjkop07lAMH1ZtZRCHPw4kxXDue8xDNnPiqPjCRXHh7jg0NHksfo_s2jUA8Ds84BArqP8SBmjhKdY_T8urtoVew0gX4PoM694R6ifrydEF7O0sf/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/rais-samia-aipongeza-burundi-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/rais-samia-aipongeza-burundi-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy