Huduma ya madaktari bingwa wa mama Samia sio sasa :RC Malima
HomeHabariTop Stories

Huduma ya madaktari bingwa wa mama Samia sio sasa :RC Malima

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wananchi kuendelea kuchangamkia fursa za huduma ya madaktari bingwa katika Maeneo Yao maarufu ka...

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wananchi kuendelea kuchangamkia fursa za huduma ya madaktari bingwa katika Maeneo Yao maarufu kama Madaktari bingwa wa mama Samia Kwa kupata huduma za bora za matibabu .

Rc Malima ameyasema hayo Mji Morogoro wakati wa kupokea madaktari bingwa 49 ambao wamegawanywa kwenye Halmashauri tisa za mkoa huo ambapo amesisitiza kuwa hilo sio zoezi la kisiasa bali serikali imeamua kurahisisha huduma kwa wananchi hasa vijijini

Malima amesema baadhi ya watu wanaona kuwa ujio wa madaktari bingwa hao kama jambo la kisiasa jambo ambalo halina ukweli wowote bali dhamiria ya Serikali ni nzuri na yenye manufaa Kwa jamii.

“huduma hizi za Kibingwa zinasaidia sana kwani wananchi wangesafiri umbali mrefu kuzifuata lakini huduma hizi zimewafikia hukohuko katika Maeneo Yao”

Madaktari Bingwa hao watatoa huduma ya afya kwa siku sita katika Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro kuanzia Oktoba 14 hadi 20 Mwaka huu.

Mhe. Malima amewasisitiza Madaktari hao kutoa hamasa kwa wananchi kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujua hali za afya zao kwani itasaidia wananchi kujitambua mapema hasa kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kuanza uchunguzi mapema ili kuanza matibabu mapema.

Kwa upande wake, Mratibu wa Madaktari bingwa wa Rais Samia Mkoa wa Morogoro kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Ismail Mtitu amesema kila Halmashauri za Mkoa huo itapokea madaktari bigwa 6 na muuguzi 1 kuanzia Oktoba 14 hadi 20 Mwaka huu ambao watatoa huduma za kibingwa kwa siku 6.

Sambamba na hayo, Mratibu huyo amesema Madaktari hao wataendelea kusimamia na kusaidia huduma za kibingwa zinatolewa kikamilifu, kuwajengea uwezo Madaktari katika Maeneo husika katika hospitali zilizopo kwenye Halmashauri hizo na kusaidia hospitali kuanzisha wodi maalum za watoto wachanga.

 

 

The post Huduma ya madaktari bingwa wa mama Samia sio sasa :RC Malima first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/yTabqjd
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Huduma ya madaktari bingwa wa mama Samia sio sasa :RC Malima
Huduma ya madaktari bingwa wa mama Samia sio sasa :RC Malima
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2024/10/IMG-20241015-WA0000.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2024/10/huduma-ya-madaktari-bingwa-wa-mama.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2024/10/huduma-ya-madaktari-bingwa-wa-mama.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy