KMC YATENGA DAKIKA 180 ZA USHINDI
HomeMichezo

KMC YATENGA DAKIKA 180 ZA USHINDI

  HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa KMC amesema kuwa kwa namna ambavyo wamejipanga katika mechi zao mbili zilizobaki hawatakubali kudondosha ...

RATIBA YA SIMBA KIMATAIFA, UPANDE WA ULINZI BADO TATIZO
TAMBWE:SIJALIPWA FEDHA ZANGU NA YANGA
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

 HABIB Kondo, Kocha Msaidizi wa KMC amesema kuwa kwa namna ambavyo wamejipanga katika mechi zao mbili zilizobaki hawatakubali kudondosha pointi tena.

Baada ya kucheza jumla ya mechi 32 imebakiza mechi mbili ambazo ni dk 180 zenye pointi sita. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 6 na pointi zake ni 42.

Akizungumza na Saleh Jembe, Kondo amesema kuwa kupoteza mbele ya Simba kumewapunguzia kasi yao ya kufikia malengo lakini hawajakata tamaa ya kuendelea kupambana.

Kondo amesema:-“Ukitazama mchezo wetu uliopita tulijifelisha sisi wenyewe hapo hatuna cha kumlaumu. Kwa kuwa tuna mechi mbili ambazo zimebaki hizo tutapambana ili kupata pointi tatu na inawezekana.

“Kwa namna ambavyo tumejipanga uhakika ni mkubwa kushinda kwani makosa ambayo tumeyafanya tunakwenda kuyafanyia kazi na inawezekana kupata pointi tatu kwa uhakika licha ya kwamba ushindani ni mkubwa,” amesema Kondo.

Ni mechi mbili ambazo zimebaki mikononi mwa KMC ni dhidi ya JKT Tanzania itakuwa Julai 14 na Ihefu Julai 18.

Mchezo wake uliopita kwenye ligi iliyeyusha pointi tatu mazima mbele ya Simba kwa kufungwa mabao 2-0 jambo ambalo limefanya timu hiyo kupoteza pointi sita mbele ya mabingwa hao wa ligi.

Mzunguko wa kwanza walifungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa hivyo ndani ya dk 189, KMC imefungwa mabao matatu na kuacha pointi sita mazima mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KMC YATENGA DAKIKA 180 ZA USHINDI
KMC YATENGA DAKIKA 180 ZA USHINDI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjL2CEfLrHK6iuT7btTf5AKb8hSBls0m3clB64U2c-uWDQNrE_xse4mvBZH70HxpnPF8Zu-EaROXtbVH9XHVUkhyphenhyphen8pOn-4YKg-rHKkwghPrP6GnBlROmqZFv0ar1amkU4udM4_UaUvofGjY/w640-h426/KMC+v+Simba.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjL2CEfLrHK6iuT7btTf5AKb8hSBls0m3clB64U2c-uWDQNrE_xse4mvBZH70HxpnPF8Zu-EaROXtbVH9XHVUkhyphenhyphen8pOn-4YKg-rHKkwghPrP6GnBlROmqZFv0ar1amkU4udM4_UaUvofGjY/s72-w640-c-h426/KMC+v+Simba.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/kmc-yatenga-dakika-180-za-ushindi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/kmc-yatenga-dakika-180-za-ushindi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy