YANGA KUSAJILI MAJEMBE MAPYA NAFASI YA USHAMBULIAJI, BEKI
HomeMichezo

YANGA KUSAJILI MAJEMBE MAPYA NAFASI YA USHAMBULIAJI, BEKI

  UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba utafanya usajili katika eneo la ushambuliaji ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao. Kwenye ms...

BAADA YA NGAO YA JAMII NGUVU YA YANGA IPO HUKU
VIATU VYA ONYANGO TARATIBU MIKONONI MWA MZAWA JUMA
ISHU YA MWINYI ZAHERA KUWA MKALIMALI YANGA IPO HIVI

 UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba utafanya usajili katika eneo la ushambuliaji ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao.

Kwenye msimamo wa ligi, Yanga ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 67 na safu ya ushambuliaji imefunga jumla ya mabao 49 ikiwa imecheza jumla ya mechi 31.

Pia safu ya ulinzi inayoongozwa na Bakari Mwamnyeto imeruhusu jumla ya mabao 21 huku ile ya Simba inayoongozwa na Joash Onyango ikiwa imeruhusu mabao 11 kati ya mechi 27.

Ofisa Uhamasishaji wa Yanga, Antonio Nugaz amesema kuwa wameona mahali ambapo kuna mapungufu hivyo watafanyia kazi kwa kusajili kwenye nafasi ya ushambuliaji na ulinzi.

“Msimu huu kuna mambo tumeyaona na kilichobaki kwa sasa ni wazi kwamba bado tunajenga timu, tutaongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji na ulinzi ili tuweze kufanya vizuri msimu ujao.

“Mashabiki waendelee kutupa sapoti wasikate tamaa tupo imara na tutafanya vizuri bila mashaka kwani kujenga timu kunahitaji muda,” amesema Nugaz.

  Miongoni mwa wachezaji ambao walisajiliwa na Yanga ni pamoja na Wazir Junior mwenye mabao mawili, Michael Sarpong mwenye mabao manne, Fiston Abdulazack mwenye bao moja ndani ya ligi.

 



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA KUSAJILI MAJEMBE MAPYA NAFASI YA USHAMBULIAJI, BEKI
YANGA KUSAJILI MAJEMBE MAPYA NAFASI YA USHAMBULIAJI, BEKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggEj5Frek03G-XexhITt90AETpsxqfO-FjC31NeaWH8agqeztfq1Yoi-FF7hTkAE0diOyNwMFqXkPPvQs5pfKWw_Z6YovqoPL4YiKwnz4lYyx82peNofyfcErQigP_XdiO6QN5m64ASyiv/w622-h640/finally_sarpong19-119691057_325553191989069_7017791267500802946_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggEj5Frek03G-XexhITt90AETpsxqfO-FjC31NeaWH8agqeztfq1Yoi-FF7hTkAE0diOyNwMFqXkPPvQs5pfKWw_Z6YovqoPL4YiKwnz4lYyx82peNofyfcErQigP_XdiO6QN5m64ASyiv/s72-w622-c-h640/finally_sarpong19-119691057_325553191989069_7017791267500802946_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/yanga-kusajili-majembe-mapya-nafasi-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/yanga-kusajili-majembe-mapya-nafasi-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy